Nokia G21 inauzwa ipo Mbeya GB 128, Ram 4 TSH 300,000/=

Chief Kumbyambya

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
719
Reaction score
2,408
Simu imetumika wiki Tatu Tu.

Simu ni mpya na upya wake. Simu ipo kama unavyoiona kwenye picha hapo Chini.

Your all welcome...........,........,.


 
Nipo njiani nakuja Mbeya, kama 200k itapendeza tumalize hili.
Ndugu yangu nimenunua 400,000/= cash na sisiti ninayo, hapo nimepunguza 100,000/= nzima ili itoke haraka sababu kuna simu nyingine nataka niongezee hela niichukue.
 
Reactions: y-n
Ndugu yangu nimenunua 400,000/= cash na sisiti ninayo, hapo nimepunguza 100,000/= nzima ili itoke haraka sababu kuna simu nyingine nataka niongezee hela niichukue.
Wewe mkubalie tu, mwenzako amefunga safari toka Arusha kwa ajili ya simu yako, huyu ni mnunuzi wa uhakika na ni wachache wanaoweza kifunga safari kwenda kununua kitu kwa mtu wasiyemfahamu, muuzie tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…