Nokia N95 inanichanganya!!

Mwendabure

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2011
Posts
2,138
Reaction score
1,044
Waungwana naomba msaada wa jinsi ya kutumia simu yangu Nokia N95 Nsiries kama mordem. Computer yangu ni aina ya Compaq yenye window Xp professional. Msaada tafwaaadhali.
 
Umekwama wapi mkuu? jaribu kunyoosha maelezo, je umefanyaje na ikawaje au huju pa kuanzia kabisa? hii itawapa wataalamu namna nzuri ya kukusaidia.
Je umedownload na ku install nokia pc suite ktk pc yako?
 
Nitapataje hiyo Nokia Pc suite mkuu? Nifanyeje?
 
Download nokia OVI suite then utapata help instructions
 
Pia inawezekana N95 yako inaweza kuwa mchina maana wachina hawachelewi wamekopy zote saiv hadi N97 watu kibao tu wanazo fake
 
Tatizo waulizaji hawatoi ufafanuzi wanapotakiwa na pia hata mrejesho hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…