Kesi iendelee ili tujue mbivu na mbichiHaha ndiyo maana CHADEMA hawakwenda kwenye mkutano wa hali ya siasa na demokrasia ya vyma vingi kumbe walikuwa wakisubiri Nolle prosequi ya Mbowe
Wametengeneza Movie ya Wadau wa Demokrasia... mmeona aibu mkaja kivingine! Inatafutwa namna ya kuficha aibu.
... unaamini kabisa mkutano wa akina momose na lyatonga nao ni mkutano wa vyama vya siasa? Be serious chief!Haha ndiyo maana CHADEMA hawakwenda kwenye mkutano wa hali ya siasa na demokrasia ya vyama vingi kumbe walikuwa wakisubiri Nolle prosequi ya Mbowe
Jaji Mkuu mama Hangaya bado hajakamilisha muhtasari wa hukumu yake kama rejea ya DPP kwa utekelezaji. Subiri.Haha ndiyo maana CHADEMA hawakwenda kwenye mkutano wa hali ya siasa na demokrasia ya vyma vingi kumbe walikuwa wakisubiri Nolle prosequi ya Mbowe
... kitaeleweka tu! Haki ya mwenye haki itacheleweshwa tu ila haitapotea; hilo ni agano toka Kiti cha Enzi; wanajifanya hamnazo.Wametengeneza Movie ya Wadau wa Demokrasia
Wakamtumia Yuda Kuomba Msamaha
Kweli atapata haki yake- KIFUNGO KWA UGAIDI- akimaliza kifungo- ATARUDISHIWA HAKI YAKE YA KUWA RAIA MTII NA MHESHIMU SHERIA... kitaeleweka tu! Haki ya mwenye haki itacheleweshwa tu ila haitapotea; hilo ni agano toka Kiti cha Enzi; wanajifanya hamnazo.
... uwezo wako wa kuelewa ni sifuri! Haki ya mwenye haki ni kifungo?Kweli atapata haki yake- KIFUNGO KWA UGAIDI- akimaliza kifungo- ATARUDISHIWA HAKI YAKE YA KUWA RAIA MTII NA MHESHIMU SHERIA