Ngoshwe, hakuna siri kubwa sana hapa bro, zaidi ni bidii ya kazi na usiriaz!! hvi hujawah kuchek muv za kibongo
had ukawaza hata kama we ndo ungeka director usingeruhusu ki2 kama
hcho (though may b huna ujuz wa ki director?). 2kiwa sirias mbona 2nawapiku2!! kwani kipindi cha "girlfriend na sonia"
mbona 2lizipenda sana muvi ze2 pamoja na kuwepo hzo za kinigeria!!