Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,768
- 3,622
Yaani wewe Young Master, huu mtego kweli kweli! lol, mimi hata idea sina dear, hebu tutag wengi basi tupate washiriki wengine ambao kuna uwezekano pia wana jibu ya hili suala. Au unaonaje?
I thought u knew teh teh teh!!! anyway nadhani itakuwa a good idea kama tukitag watu ambao unahisi pengine kwa namna moja au nyingine wana ujuzi wa haya mambo...!!!
Raha ilioje kupaishwa? lol Hata hivo YM upo mbali na mahala penyewe pa shughuli? mara nyingi kwa uhakika ni bora unaenda eneo la tukio na kuuliza taratibu. Naamini hata hapa utapata wadau, ila naona (thou sina hakika) kuwa vitu ambavo unahitaji vipo fixed gharama zake zipo wazi...
Sihitaji kujua gharama in terms of bei but nahitaji kujua in terms of percentage. I do believe ushuru huwa unatozwa in terms terms of percentage which means it is fixed.
Kumbe bora ulinitag, nisha jifunza kitu hapa, sikujua mambo ya terms in percentage. Thanks..
Full system ya nini?
Computers na accesories zake hazina ushuru.
Full system ya bidhaa za electronics ukiondoa computer lakini ambazo zinahusiana na mambo ya IT.
Tembelea hapa http://www.tra.go.tz/ lakini taarifa yoyote unayoipata hapo ichukulie kama guide tu. Utaratibu wa kutoza ushuru Bongo uko kimagumashi. Huwezi kukadiria kabda mzigo haujafika kwa customs. Na hiyo taarifa unayotaka wewe ya accessories etc hakuna kitu kama hicho. Wanachofanya ni kupiga hesabu ya mzigo mzima na kukata kodi, lakini tatizo ni kwamba wakati mwingine hukataa bills ulizowaletea wewe na wanatumia formula yao. So in summary ninachoweza kukwambia ni kwamba import at your own risk.
Bidhaa za aina hiyo nyingi zinalipa 10%import duty na 18%vat ambazo cummulative ni 29.8%ya thamani ya mzigo wako plus insurance n freight yaani 29.8%ya CIF
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mkuu Kiranga mbona nimeshasema nahitaji bidhaa za electronics za aina gani....kwa upande wangu mimi ninadeal na bidhaa electronics ambazo zinahusiana na mambo ya Information Technology kama vile routers, simu, hard drives, tablets n.k
Huku specify, ulisema tu za IT zisizo computer.
Mtu anaweza kukwambia hata mtambo wa radar ni "bidhaa ya electronic".
Be specific.
ha ha ha haaaa!!! Haya bwana nimeshaspecify mkuu...naomba msaada wako.
Routers, hard drives na tablet zote ni computing accessories na ninavyoelewa mie hazina ushuru. Nimeingiza muda si mrefu bila ushuru.
Tatizo mambo yetu yako so arbitrary mara nyingine unakuwa at the mercy ya mtu unayekutana naye, mwanya wa rushwa.
Swali jingine unaingiza bulk kwa biashara au kiasi kidogo kwa personal use/ gifts?
Check hiyo website.
Ningiza kwa biashara but mbona mimi huwa nachajiwa ushuru mkuu? mfano wakati uliopita niliingiza tablet PC na nikachajiwa ushuru. by the way nicheck website gani mkuu?