Nomben ushauri tumsaidie huyu dada.

Uko sahihi kbs happy,ameshalitambua hilo na kwa sasa anasema anapumzika kwanza ajipe mda wa kutosha kujiangalie yeye na kurekebisha mapungufu yake kabla hajajiingiza kwenye uhusiano mpya?
 

pia hapa anaweza kuwa anaathiriwa na vitu 3 ambavyo inabidi avielewe
  1. yeye anaweza kuwa ni tatizo
  2. partners anaowapata wanaweza kuwa ni tatizo
  3. yeye na partners wanaweza wakawa ni tatizo
 
huyo rafiki yako akae chini atulize akili. aache kabisa kufikiria mpenzi kwa sasa sababu ana maumivu. mkaka yeyote atakayemwonea huruma tu kwa sasa ataona ni mpenzi wakati siyo kweli.
Mimi naamini kwenye kupata break after heartbreak, inakupa muda wa kufikiria mambo yaliyo bora zaidi..... kujifunza na kuwaza kuhusu past relationship ili ujue uanzie wapi baadae. mambo ya kuruka kutoka relationship moja hadi nyingine siyo mazuri. ndo maana walio wengi wanaofanya hivyo wanashtuka baada ya muda fulani anakuwa kabadilisha wenza kibao.
Amefanya jambo la busara kuachana na hiyo mtu, lakini a-take time yake. a-develop hobby nyingine, kuangalia sinema, JF, etc kwa muda anaojisikia lonely.
 
pia hapa anaweza kuwa anaathiriwa na vitu 3 ambavyo inabidi avielewe
  1. yeye anaweza kuwa ni tatizo
  2. partners anaowapata wanaweza kuwa ni tatizo
  3. yeye na partners wanaweza wakawa ni tatizo
Amegundua yote matatu yanatokea kwa nyakati tofauti na watu tofauti,ni km relation yake ya mwisho yeye alikuwa poa na jamaa aliweza kutuliza hasira na wivu wake na wakawa wako poa tu,ila tatizo jamaa alikuwa na mke shost alipogundua na jamaa akakiri ndio ndio akaamua kuachana naye,kwa vile ameshalijua tatizo lake anajirekebisha na kumwomba mungu ampe mtu mkweli watakaeendana na kuelewana.
 
Uko sahihi kbs,ameshaligundua hilo na kwa sasa ameamua kutulia kwanza na kujikip bize na mambo mengine kabla hajajiingiza tena kwenye relation mpya.
 
mpe pole sana na amefanya sana jambo la mbolea kuachana na mume wa mtu ...........
atulie na kumuomba sana mungu mana akisema atake faraja kwa mwanaume anaweza kuishia pabaya bure tena bora atulie na kupata faraja kwa mungu ambaye hatamuumiza wala kumletea magonjwa ya moyo huku akiomba ampate wa kufafa naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…