"Non-Celebrity" anatafuta mchumba.....


Jamani mboni wanoko mnaongezeka mwe!
 

Do not ever try afrodenzi, maana communication zote zitakuwa zinapitia kwa mpigakelele, kutakuwa na bureaucracy.
 
Umeingia jamvini bila kupiga hodi
ulikuwa na haraka ya kupata mchumba
Nywz karibu ndani

Weka vigezo vyako nimepate munkari ya kukuPM
 
Mwenyewe katuchokoza, analeta usanii kwenye jumba la sanaa, huoni kaingia mitini, simsikii tena. amepata shock of his life.
Jamani lukansola ushanikimbizia hivyo, nakwambia nitakuganda wewe shauri lako
 
Do not ever try afrodenzi, maana communication zote zitakuwa zinapitia kwa mpigakelele, kutakuwa na bureaucracy.

Jamani wengine hatukua na hamu ya kucheka asubuhi asubuhi lol, watu mna visa!
 
Do not ever try afrodenzi, maana communication zote zitakuwa zinapitia kwa mpigakelele, kutakuwa na bureaucracy.

Na Mpigakelele
ye ndo nani ?
Ni bodyguard au receptionist
kwanini akubali kutumiwa kiasi
Hiki?

Mmhhh kwanza nimeambiwa huyu
ni mtu mmoja an ID mbili..
 

kwani ukijisema kuwa wewe ndiye unayetafuta mchumba kuna ubaya gani hadi usingizie nafsi nyingine?
Mnapotoa masharti magumu ya "ideal fiance" mnayemuhitaji, mkumbuke kuweka na sifa zenu pia.
 

The higher the monkey climbs the more it shows its.... sasa mpigakelele kusahau ku log out account yake kuna uhusiano gani na wewe ku gonga thanks, the more you try to be smart the more you reveal your level of thinking, na kwa nini umtake mtu akutangazie biashara yako kama unayo account yako mwenyewe, taarifa zako hizi hapa incase huzijui

Join Date : 4th April 2011
Posts : 2
Thanks 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
 
The Finest na Afro hapo juu tafadhalini ee huyu non-celebrity ndio mchumba ambae mungu alinipangia acheni kumkomalia asije kimbia bure mboni wabaya nyie lol, mtanikimbizia bana
Ahaaaa ahaaaa ahaaaa l.o.l hayaa mama
 
kwani ukijisema kuwa wewe ndiye unayetafuta mchumba kuna ubaya gani hadi usingizie nafsi nyingine?
Mnapotoa masharti magumu ya "ideal fiance" mnayemuhitaji, pia mkumbuke kuweka na sifa zenu pia.

Sifa yake ya kwanza ni uongo.
 
The Finest na Afro hapo juu tafadhalini ee huyu non-celebrity ndio mchumba ambae mungu alinipangia acheni kumkomalia asije kimbia bure mboni wabaya nyie lol, mtanikimbizia bana

Hahahahahahahah
Maty mpenzi unavituko
acha kunichekesha basi..dahhh

Hivi yule
Niliekuonganishia
ulimuachaga wapi?
hahahah lol
 
@Lukansola & The Finest: Naona mnamtafutia rafiki yangu MpigaKelele sababu ya kufungiwa kutumia JF, hivi kosa lake kutangazania nia yangu kutafuta Mchumba!!,
 

Kuna mtu ameanzisha thread humu MMU kulezea jinsi baadhi ya watu wanavyoleta mzaha kwenye masuala ya msingi. Upuuzi huu unaweza ukasababisha watu ambao wako serious katika kile wanachokitafuta wakikose. Kuweni serious la sivyo hili jukwaa halitakuwa na maana muda si mrefu.
 
sometimes common sense aint common
 
@Lukansola & The Finest: Naona mnamtafutia rafiki yangu MpigaKelele sababu ya kufungiwa kutumia JF, hivi kosa lake kutangazania nia yangu kutafuta Mchumba!!,

Kama ID ya JF unayo, ulishindwa nini kuingia front mwenyewe? Unajichanganya ndugu.
 
DAaahh
Kumekucha
Kipandee hii
mmmhh taratibu
Angalia usije ukamvunja
Dada MATTY moyo..
Hahaha lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…