Non profit organization establishment: Information needed.

Joined
Oct 22, 2010
Posts
78
Reaction score
0
Habari wapendwa. Nimehitimu chuo kikuu mwaka wa masomo uliopita katika chuo kikuu fulani hapa Tanzania. Bado sijaajiliwa lakini natamani sana kujiajili kama social enterpreneur kwa kuanzisha non profit organization ili kutatua matatizo mbalimbali ya kijamii yanayotuzunguka katika Tanzania. Tatizo langu sijui jinsi ya kuanza wala sina fund zitakazoniwezesha kujenga misingi ya organization hiyo. Kama kuna mwenye mchango wowote wa mawazo tafadhali anisaidie. Ahsanteni sana. Mungu awabariki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…