wewe nadhani ulishaondolewa hata kwenye daftari la kudumu kupigia kura kwasababu za kiutimamuNarudia tena, Tanzania hakuna uchaguzi bali Kuna maeonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Tutahakikisha watu wote wanaojitambua hawajitokezi kushiriki huo upuuzi. Uchaguzi huru unafanyikia kwa Sheria za haki, kama hata kanuni za uchaguzi hadi leo bado, na wanaozitunga ni hao hao wafaidika wa hizo chaguzi za kipuuzi, ni wendawazimu kusema kutakuwa na uchaguzi huru.
hakuna namna nyingine,hakuna jipya Tulishazoea ghiliba za ccm
Kama ni kuondolewa itabidi muondoe wengi sana, na huko kwenye daftari mmbaki na watakaokubali kufanywa mazombie kwa kupoteza muda kwenye mistari ya kura kuongopea Dunia kuwa kuna uchaguzi.wewe nadhani ulishaondolewa hata kwenye daftari la kudumu kupigia kura kwasababu za kuitimamau
Hilo halipingiki ndiyo maana wakaitwa ccmCCM ni walaghai haswa
Yes,Kama ni kuondolewa itabidi muondoe wengi sana, na huko kwenye daftari mmbaki na watakaokubali kufanywa mazombie kwa kupoteza muda kwenye mistari ya kura kuongopea Dunia kuwa kuna uchaguzi.
Bunge lenyewe la Magufuri,Mahera na Ndugai na akili zao za Kimagufuri.wote wapi tena 🐒
wanainchi kupitia bunge lao tukufu wamepaza sauti na kurekebisha yaliyo muhimu na kuamua iwe kama ilivyo na tunasonga mbele kwenye utekelezaji 🐒
ikiwa hukuridhika, basi hilo ni jambo binafsi tafuta namna binafsi kulitatua.
Lakini ukweli ni kwamba waTz walisharidhia tayari kupitia bunge 🐒
Bunge la Magufuri hovyo kabisaa lipo tu kwa ajili ya kushibisha matumbo na kumsifia Rais na hakuna kingine cha maana hapo.TUME HURU IPI TANZANIA HAJARIDHIWA NA WOTE? HUJUI AU MAKUSUDI?
bunge la Tanzania linalowakilisha mawazo na maoni ya wananchi wote waTanzania lilijadili na kuridhia maini ya wananchi kuhusu mabadiliko ya tume huru ya uchaguzi Tabazania, na hakuna namna nyingine
Usingekosea....ungepuuzwa.Jina lisomeke Khamis Mbeto
maoni yako ni yako, ni maoni yako mwenyewe tu, na ni haki yako ya msingi, lazima yaheshimiwe sana, lakini hayawezi kuzuia au kubadili ukweli kwamba bunge la Tanzania linatekeleza wajubu wake muhimu saba, kazi zake nzito sana, na majukumu nyeti sana kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa ujumla....Bunge la Magufuri hovyo kabisaa lipo tu kwa ajili ya kushibisha matumbo na kumsifia Rais na hakuna kingine cha maana hapo.
Mnangoja Nini?Yes,
wote wenye shida ya utimamu na walioaga dunia wote wataondolewa
Kwenda kuongezea wastaafu na wenza mafao na marupurupu,siyo.maoni yako ni yako, ni maoni yako mwenyewe tu, na ni haki yako ya msingi, lazima yaheshimiwe sana, lakini hayawezi kuzuia au kubadili ukweli kwamba bunge la Tanzania linatekeleza wajubu wake muhimu saba, kazi zake nzito sana, na majukumu nyeti sana kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, kwa maslahi mapana ya wananchi na Taifa kwa ujumla....
vinginevyo ni maoni na mitazamo ya lawaidatu ambayo ni kitu cha kawaida
Hatari snHilo halipingiki ndiyo maana wakaitwa ccm
huo ni upotofu,Bunge lenyewe la Magufuri,Mahera na Ndugai na akili zao za Kimagufuri.
Sasa wewe unaona hiyo ni sawa chombo cha umma kwenda kutunga sheria za kunufaisha familia zao?huo ni upotofu,
taasisi hizi ni za umma, na si mali ya mtu binafsi au watu fulani pekee. ....
ni mali huru za waTabzania wote na zinafanya kazi kwa mujibu wa sheria na katiba ya waTanzania
ni maoni ya waTanzania, ikionekana inafaa kubadilishwa wanainchi wataamua pia, na ndio mambo ya kisheria yalivyoKwenda kuongezea wastaafu na wenza mafao na marupurupu,siyo.
Ficha ujinga wakokama hujawahi kuona uchaguzi Huru, wa Haki, na Wazi Tz, basi fuatilia kwa karibu sana uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu na uchaguzi mkuu mwaka ujao, utakao simamiwa na Tuma Huru ya Uchaguzi🐒
Jambo la muhimu zaidi la kuzingatia,
usije ukubaini kwamba ni kweli ni uchaguzi ulikua Huru, Haki na Wazi uchaguzi ukiwa umekwisha, kisha ukaanza kujuta..
oohh bora ningeshiriki,
itabidi usubiri miaka mi5 tena 🐒
kama wewe umeona sio sawa umeskizwa, lakini wale wengine hususan wabunge waliyo wengi wameona ni sawa.Sasa wewe unaona hiyo ni sawa chombo cha umma kwenda kutunga sheria za kunufaisha familia zao?
ukweli daima kwa uwazi bila kifichoFicha ujinga wako
Ficha ujinga wakoukweli daima kwa uwazi bila kificho
zoezi linakwenda kwa utaratibu kamanda, sio kwa kukurupuka wala muujiza, ni halisi kabisa, litafanyika mchana kweupe bila chenga na punde litaanza rasmi maeneo yote nchiniMnangoja Nini?