Noombeni msaada kuhusu kupata ujauzito

kwahiyo mkuu leo unachoma? Nakuonea tamaa kinoma. gonga nyama nyama ukitaka kupizi toa mashine upizi nje.
 
huyo ni mchumba au mkeo? usizini na Mheshimu sana Mungu wako
 
Du! Kijino hii ya leo kali na umeniacha hoi kabisa. Yai lako limepevuka mara mbili au ulichanganya mahesabu? hiyo mimi siikubali. nina miaka 15 ndani ya ndoa (achilia mbali kile kipindi cha kujaribujaribu). Siku zote huwa nategeshea kuanzia kufanya hayo mambo siku ya 21 hadi 28 (I regard these as safe days) na sijawahi kukumbana na hicho unachosema. Mke wangu aliwahi kupata mimba siku ya 20, ndio maana nikaanza kuikwepa hiyo siku. so I always count out day 8 to 20. Hebu wataalam wa biology tujuzeni kama kuna ukweli hapo
 
Haya mambo ya tarehe mimi yalinishinda asee.,
Mkuu learn to withdraw..:nerd:
Mkuu, mimi sihitaji hata kuyasikia mambo ya tarehe, maana yalinifanya nimpe ujauzito mwingine mai waifu wangu mtoto akiwa na miezi 2! NDOM ni kinga madhubuti bora kuitumia muda wote.
 
bora mtumie ndom maana mambo ya hesabu ni magumu wengine hawajui waanzie kuhesabia lini.... Baada ya kumaliza bleed au siku ile anayoanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…