Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hivi kuna burudani zaidi ya hii kwenye muziki? Halafu mtu atashangaa kwanini sipendi hizi takataka za Dabliyusibii! Af anatokea kenge mmoja anasema sikuhizi kuna mziki? Noorah was a pure talent huyu ndiye msanii ambaye aliingia mainstream bila kupitia u underground!