North Korea yajaribu kombora jipya la Balistiki toka kwenye submarine (SLBM)

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634





North Korea imefanya jaribio la kurusha kombora la balistiki la masafa mafupi toka kwenye nyambizi (submarine) jana October 19, 2021.

Jaribio hilo limefanyika ktk kipindi ambacho wajumbe maalumu wa Marekani, South Korea na Japan ktk maswala ya North Korea wakijiandaa kukutana kujadili mpango wa silaha za nyuklia wa North Korea.

White House, Ikulu ya Marekani, imeiomba North Korea kusitisha majaribio yake hayo kwa kile (Marekani) ilichokiita vitendo vya kichokozi, huku msemaji wa Ikulu hiyo Jen Psaki akisema kuwa Marekani imeacha milango wazi ya kujadiliana na North Korea kidiplomasia juu ya kusitishwa kwa mpango wa silaha za nyuklia wa North Korea.

Chanzo: N.Korea confirms submarine launch of new ballistic missile
 
US wapuuzi tu bwana kiduku kamatia hapo hapo yaani
 
Naomba kuuliza kwanini mmarekani ukanda huu wa afrika mashariki na kati nadhani alipenda kuweka kituo cha mambo ya silaha na vita hapo kinya? Na sio uganda tanzania wala rwanda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…