A
Anonymous
Guest
Taasisi ya North Mara community trust fund. Iliyopo wilayani Tarime kuna mambo yanayoendelea yasiyo ya haki hasa kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali walio chini ya mpango wa maendeleo endelevu.
Wamekuwa wakilipiwa ada na taasisi hiyo lakini kwa mwaka huu ulipaji huo umekuwa wa mashaka sana kwa kuchelewa kulipa na kulipa pesa isiyotosheleza jwa muhula wa kwanza.
Lakini pia muhula wa pili waliwataka wanafunzi wote walio chini ya mpango huo kutuma taariza zao ikiwa ni jina kamili chuo na kiasi wanachohitaji kukamilishiwa. Lakini mpaka sasa zoezi hilo la uwekaji pesa halijafanyika ukizingatia kuwa vyuo vingi vinakaribia kukamilisha mitihani ya mwaka.
Wamekuwa wakilipiwa ada na taasisi hiyo lakini kwa mwaka huu ulipaji huo umekuwa wa mashaka sana kwa kuchelewa kulipa na kulipa pesa isiyotosheleza jwa muhula wa kwanza.
Lakini pia muhula wa pili waliwataka wanafunzi wote walio chini ya mpango huo kutuma taariza zao ikiwa ni jina kamili chuo na kiasi wanachohitaji kukamilishiwa. Lakini mpaka sasa zoezi hilo la uwekaji pesa halijafanyika ukizingatia kuwa vyuo vingi vinakaribia kukamilisha mitihani ya mwaka.