Unadhani ulikuwa unaishi Tanzania peke yako?
Yale maombi yalikuwa ni ya nini kama alisema ugonjwa haupo?
Hata kama humpendi ila Rais Magufuli kwenye Korona aliwashinda hata hao wazungu unawaona miungu watu. Wanayoyafanya leo ni mambo ambayo mh. Rais aliyafanya 2019/2020. Shida ya watu wenye elements za kitumwa kama zako huwa hawajivunii mambo yao. Tulipaswa kujivunia hili, badala yake ujinga ujinga tu manawaza!
Wewe ni daktari wake? Kwa hiyo Mh. Rais Samia alidanganya taifa? Yaani Watanzania wengine mnapenda umbeya sana. Ndio mnadanganyana hivyo kwenye vijiwe vyenu?
Hebu ona ujinga mwingine!
Kwa hiyo sisi Tanzania ambao less than 4% wamechanja, ambao tumekuwa tukiishi bila bugudha na tunaendelea kuijenga nchi yetu nasi tumechanja?
Kaangalie stats za Norway, Sweden na Denmark halafu ndio uje uandike uongo wako hapa. Kama Korona ingekuwa hatari kama unavyotaka kutuaminisha, basi maduka yote kule kariakoo yangekuwa yamefungwa na wangekuwa vitandani hoi na Korona. Ila kwa ground hali ni tofauti na uongo wako huu!
na Watanzania wanalindwa na chanjo ya nini?
Yaani wewe utakuwa kati ya Watanzania wajinga kabisa. Hivi vitisho mmeanza toka 2019 mpaka leo hamuoni aibu tu?
Yaani kwa less than 4% rate ya waliochanjwa hakupaswa kufa hata mmoja. Ukweli kwamba kuna aliyekufa unakwambia kitu kuhusu hizo unazoziita chanjo!
Hawa pia walikufa kwa sababu hawakuchanja:
by WorldTribune Staff, December 26, 2021 Carlos Tejada, Deputy Asia Editor for The New York Times, died on Dec. 17 at the age of 49. Alex Berenson, a former New York Times reporter, noted that Teja…
www.worldtribune.com
A healthy 25-year-old doctor from Thailand has died 1 month after receiving the Pfizer booster shot.
thecovidworld.com
Source: NewsWars Has the experimental jab claimed the life of another celebrity? The Orange County Florida Sheriff’s Office announced on Twitter Sunday that legendary co…
republicbroadcasting.org
The man's death was included in the Vaccine Adverse Event Reporting System database.
www.lifesitenews.com
A 52-year-old prominent New Brunswick cardiologist who shamed the unvaccinated over the summer died suddenly in his sleep after getting his third shot of
www.redvoicemedia.com
Zealous COVID vaccine promoting professor who attacked anti-vaxxers as "selfish" dies after getting her third jab. In what is fast becoming a pattern of quick deaths after the so-called "booster" shots, Mrs Karen Croake Heisler was notorious for using her Twitter account to attack anti-vaxxers...
principia-scientific.com
Huyu mwenzako alienda mbali zaidi ya wewe na hatunaye, maskini!
A 52-year-old prominent New Brunswick cardiologist who shamed the unvaccinated over the summer died suddenly in his sleep after getting his third shot of
www.redvoicemedia.com
Wewe jione uko kwenye safina ya chanjo na uko salama. Sisi wengine tutaendelea kumwamini Mungu aliyetuvusha salama kama nchi. Mwisho wa siku tutaona nani mwenye mamlaka ya mwisho juu ya uhai wa mwanadamu: Mungu wa Mbinguni ama pFizer, Moderna na J & J
Wewe kachanje, kama rais alivyosema. Ukiisha tumia hiyari yako imetosha. Wengine tumetosheka na ujinga wetu!
Hatua sahihi kwa wajinga sisi ni kumtegemea Mungu aliyetupa kuishi, ambaye kwa wakati wake atachukua uhai wetu ambao ni mali yake. Hatuishi maisha ya hofu kwa sababu tunajua kuwa BWANA hutoa na Yeye hutwaa. Hahitaji kupata ushauri wa pFizer, Moderna wala J & J kufanya maamuzi yake.
BONUS:
And... FBI