Norway yasema kuitambua Palestina ni kutekeleza azimio la Oslo

Norway yasema kuitambua Palestina ni kutekeleza azimio la Oslo

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Norway ambayo ni moja ya nchi tatu zilizoamua kulitambua taifa la Palestina imesema uamuzi wake huo ni kuendana na makubaliano yaliyofikiwa nchini mwake mwaka 1993.

Makubaliano hayo yaliyotiwa saini White house nchini Marekani yalifanyika mwak 1993 wakati wa uongozi wa Yasser Arrafat na Bill Clinton pamoja na Yitzak Rabin wa Israel.

Oslo Accords

 
Kuna mpango unaanza kusukwa taratibu na bwana mkubwa Marekani ili kupata mataifa mawili au? Norway, Spain na Ireland hawawazi kukurupuka kuitambua Palestina tena kwa pamoja bila mkono wa Marekani, Marekani hataki kuipoteza israel wala washirika wake baadhi mataifa ya kiarabu Yanayoisapoti palestine, marekani ni muhini sana
 
Kuna mpango unaanza kusukwa taratibu na bwana mkubwa marekani ili kupata mataifa mawili au? Norway,spain na ireland hawawazi kukurupuka kuitambua palestina tena kwa pamoja bila mkono wa marekani, marekani hataki kuipoteza israel wala washirika wake baadhi mataifa ya kiarabu Yanayoisapoti palestine, marekani ni muhini sana
Hujaeleweka
 
Mipaka ya Palestine ni ipi? Je wanatambua Nini Cha Palestine?

Maana kwa mujibu wa propaganda za Israel na wenzake Palestine yote ni magaidi
 
Mipaka ya Palestine ni ipi? Je wanatambua Nini Cha Palestine?

Maana kwa mujibu wa propaganda za Israel na wenzake Palestine yote ni magaidi
Mipaka inayotambulika na mkataba wa Oslo ni ile ya 1967.Kwa sasa maeneo mengi aliachiwa Israel akaingiza masetla kutoka nje.
Taifa la Palestina likikamilika masetla watahama au wakubali kuwa raia wa taifa la Palestina.
 
Back
Top Bottom