Elections 2010 [NOT CONFIRMED]: Prof. Mlambiti (wa Uchumi SUA) naye ashinda Ulanga


Nimekuogopa wewe unadata mno!
 
ASANTE FDR, JR. KWA TAARIFA ZA KINA SANA.
Tunaomba utujuze zaidi jinsi mambo yatakavyoenda kwa ujumla wake
 
Duh FDR.Jr nimekukubali kwa data za ulanga... Tafadhali endelea kutujuza zaidi.
 
Bravooooo my prof.... You deserve it.. Kaza buti kanyaga twende tukalete ukombozi.
 
Habari za punde ulanga magharibi kuna mchezo unataka kufanywa kumpoka ushindi prof mlambiti, tarafa ya mtimbira ambako wagombea wote wawili wanaopambana wanatokea matokea hayajawekwa hadharani mpaka daki 5 zilizopita, kuna kada mmoja wa chama cha mapinduzi ameatawanya habari kuwa ccm imeshinda kwa kura 12 dhidi ya elfu nane za prof mlambiti. Takwimu hizi si za ukweli ila wanaangalia prof mlambiti amempiku kwa difference ya kura ngapi mponda ili wamchakachue, kada huyu anaitwa kanduru. Hizi ni taarifa za ndani ya kambi ya ccm

tume yenyewe ahaijasema lolote mpaka sasa licha ya kuwa jana iliahidiwa kuwa leo saa sita usiku matokeo yangelikuwa hadharani.

Chadema makao makuu wanapaswa kuilifuatilia jambo hili kwa speed ya umeme vinginveyo ccm watampora kura prof.mlambiti
 
12 elfu wadau kwa 8elfu. Kimsingi hapa naliona tatizo, chadema taifa watoe macho makavu vinginevyo celina kombani anampitisha mtu wake kwa kura za maruhani.
 
habari njema hizi! nguvu ya umma !!!!!!!!!!!! mwenyezi mungu ni mkuu!
 
Taarifa nilizo nazo ni mchezo uleule waliomfanyia dkt. Ngasongwa pale mtimbira, kura zinazoingizwa sasa toka mtimbira ni zile za kupikwa ili kumpa margin mgombea wa ccm. Kuna taarifa wazi kuwa mawakala wa chadema pale mtimbira wamenunuliwa kwa fedha ili kuruhusu mchezo huo ufanywe na kuzibariki kura hizo, sasa sijajua upande wa chadema wao wanasemaje juu ya hili. Maana takwimu hazituonyeshi kuwa kuna wapiga kura wa kiasi hicho mtimbira.

Chadema makao makuu kama wamo humu wawashe helicopter waende huko kumnusuru prof mlambiti.
 
Go Go Go Prof Go. We are behind u. Change is now underway. Go Prof.







Hakuna Marefu Yasikuwa na Ncha
 
Nduzu zetu wekeni ushahidi. Mlambiti ni Prof wa ukweli.
 
Duuuuu, Prof namkubali. Nakumbuka siku aliyomuuliza maswali magumu Mh. Mkapa pale freedom square Mazimbu Campus - Morogoro, sasa akiingia mjengoni itakuwaje!!!!!!!!!? Upumbavu na ubabaishaji mjengoni utaisha.
 
Upinzani umechukua kata ya sOFI baada ya mpambano wa vijana wenzangu wazawa wa kiswago kudra kikohi ccm na machawa wa tlp, tlp udiwani wameshinda kwa tofauti ya kura 21, hivyo ulanga magharibi upindanzani umebeba madiwani malinyi mjini, sofi, kata 2za itete, lupiro na kivukoni na zilizosalia ni ccm-kilosa kwa mpepo,ngoheranga,biro,igawa, usangule na mtimbira. Naomba kurekebisha kuwa kata ni 12 na si 16 hivyo. Narudia tena kuwa chadema wanapaswa wakamsaidie prof. Mlambiti kula mahenge asidhulumiwe.
 
jumla ya kata ni 15,CCM imepata-10
upinzani-5
inasemekana wachakachuaji watashinda,
Ulanga mashariki ccm wameshinda {celina kombani}
 
jumla ya kata ni 15,ccm imepata-10
upinzani-5
inasemekana wachakachuaji watashinda,
ulanga mashariki ccm wameshinda {celina kombani}

kata za ulanga magharibi ni hizi hapa
  1. kivukoni-chadema
  2. mavimba/minepa-ccm
  3. lupiro-chadema
  4. kichangani-ccm
  5. iragua-ccm
  6. itete-chadema
  7. njiwa-chadema
  8. mtimbira/madira-ccm
  9. mtimbira-usangule-ccm
  10. sofi-tlp
  11. malinyi-chadema
  12. igawa-ccm
  13. biro-ccm
  14. ngoheranga-ccm
  15. kilosa kwa mpepo-ccm
ukweli ndio huo na ni mtindo uliomuondoa dkt ngasongwa ktk kura za maoni chini ya uratibu wa celina kombani,ccm wilaya na mkoa ndio umetumika kumtoa roho profesa mlambiti.

amini usiamini mtimbira hawana vote za kumshindisha mgombea katika hali ya namna hiyo. Tafakarini wana ulanga na tupatieni majibu
 
kata za ulanga magharibi ni hizi hapa
1. kivukoni-chadema
2. mavimba/minepa-ccm
3. lupiro-chadema
4. kichangani-ccm
5. iragua-ccm
6. itete-chadema
7. njiwa-chadema
8. mtimbira/madira-ccm
9. mtimbira-usangule-ccm
10. sofi-tlp
11. malinyi-chadema
12. igawa-ccm
13. biro-ccm
14. ngoheranga-ccm
15. kilosa kwa mpepo-ccm
ukweli ndio huo na ni mtindo uliomuondoa dkt ngasongwa ktk kura za maoni chini ya uratibu wa celina kombani,ccm wilaya na mkoa ndio umetumika kumtoa roho profesa mlambiti.

amini usiamini mtimbira hawana vote za kumshindisha mgombea katika hali ya namna hiyo. Tafakarini wana ulanga na tupatieni majibu 2015
 
Msongoru kama una presha we usiangalia mtandao jikalie tu nyumbani ule vitoga, ukiangalia mtandao huu uwe na kifua, si umesikia watu wanakimbizwa hospitali ?
 
ukweli ndio huo na ni mtindo uliomuondoa dkt ngasongwa ktk kura za maoni chini ya uratibu wa celina kombani,ccm wilaya na mkoa ndio umetumika kumtoa roho profesa mlambiti.

ndo kusema mlambiti hajashinda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…