Hizi kwa jina jingine ni NGOs unaweza sajili jama kampunim mfano wake ni kama vile PASS LTD, RLDC wako dodoma hawa, FAIDA MALI CO LTD wako Arusha hawa.
shughuli za msingi za kampuni hiyo hazijalenga katika kupata faida ,huduma kwanza ila wanaweza kupata kipato cha ziada ambacho huwa termed kama "excess of income over expenditure"
Mkuu haya mambo ya kiuhasibu ndio kazi yetu kushauri mkuu!!!!
Unajua mkuu biashara rasmi ipo katika mafungu matatu
1.sole propriatorship
2.patnership
3.company
Sasa mafungu yote yaliyotajwa hapo juu ni "for profit organizations", kwa hio km biashara haijakuwepo ndani ya hayo makundi hapo juu ndio sasa tunaita "non for profit organization" na sio "non for profit companies"; hakuna company ambayo ipo kwenye kundi la non-for profit hata hz parastatal organization zipo for profit as well though they are subdized!!!
WHY no for profit organization?
Hz mara nyingi ni kutokana na aina ya shughuli wanazojishughulisha na nyingi ni masuala ya kutoa huduma kwa jamii, yaani kwa kifupi they dont engage in trading.......ama kiurahisi hawauzi wala kununua, wanaendeshwa kwa mfumo wa misaada zaidi. Mifano iliyo hai zaidi ni NGO's!!!!!!!