Note 20 ultra screen black out

afrique

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
509
Reaction score
135
Nimenunua hii simu mwaka jana mwezi wa tisa
Mwaka huu mwezi wa pili simu imezima tu screen ghafla, haijadondoka,haijakwaruzika hata screen
Imetumwa samsung Dar wanasema ni FAULT which means sina mchango kwenye kuharibika kwa hiyo screen
Kikombe kiko kwa wakala wao niliponunua Arusha (mhindi maarufu wa electronics)
Anataka nilipe 1.2 kubadili kioo
Kama kuna mwenye anataka kununua note 20 ultra ajitafakari kabla ya kuinunua
Screen black out ni tatizo common kwa hizo simu
 
Ninacho jua kama simu ime haribika na wewe hukuharibu basi warranty inafanya kazi either ubadilishiwe au utengenezewe, sasa hii yako haina warranty?
 
Ninacho jua kama simu ime haribika na wewe hukuharibu basi warranty inafanya kazi either ubadilishiwe au utengenezewe, sasa hii yako haina warranty?
Inayo ila niliponunua wanasema warranty haikavi kioo, hapo ndio nnaposhindwa kuelewa
 
Mimi Nilinunua Samsung Ikawa Na Warrant
Baada Ya Matumizi Ikaweka Kwenye Screen Dot Kama Tone La Maji Unapominya Kioo Linasambaa. Lakini Simu Inafanya Kazi Vizuri

Kwakuwa Warrant Ilikuwa Haijaisha Nikairudisha Samsung Care Centre
Ilichukuliwa Kioo Kibadilishwa Kwa Gharama Zao
 
Ninayo Note 20 5G sioni ikiwa na shida. Kuanguka imeshaanguka mara 3 lakini bado iko vizuri.

Tabu ipo kwa Note 10+ imeshaanguka kioo pembeni kimetengeneza ufa na pia nyuma ya simu ila inapiga kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…