Hivi JK tutamkumbuka kwa lipi jema? Mkulo na gavana walizisifia sana hizi matangazo kwenye tv zote, ze komedi na wakawasaidia kutangaza la kumbe ni kimeo kupita kiasi.
Hizi noti hazina muda mrefu kwenye mzunguko lakini cha ajabu ni kwamba leo hii kuna noti mpya ambazo zimechoka kiasi kwamba unashidwa kuamini kama ni noti mpya....noti hizi zinachomoka sana ule mkanda wa mng'ao ...kwani point ya kubadili noti hizi ilikuwa nini kama zina mapungufu makubwa kuliko zilizokuwepo....nani alisimamia hii tenda zima ya utengenezaji wa noti mpya...anawajibikaje kama noti zikionesha mapungufu makubwa kiasi hichi kwa kipindi kifupi namna hii...///natoa hoja////
GreatThinkers,
Noti gani hizi nimeweka mfukoni zinachuja na kutoa rangi?
Huwezi amini kale ka uzi kananyofoka na kuacha matundu noti ya sh. 500 ikiwa lainiiiiiiiiii kama inaogeshwa.
Hivi ni nani aliye idhinisha malipo hayo ya noti feki na kutuingiza ktk hasara????
Nina hakika Rais ajaye Lazima atazipiga chini mapema na tutamsahau very Soon Mku"lo" na Ndu"lu"
BOT sasa watatoa sarafu ya shilingi 500
afadhali zile za zamani bana!!!