Notification

ufadher unataka wito,si unaona mambo kunajisi kwa wanaolazimisha wito,huku wito huna.

kwa kweli mi nashukuru sana kwa wewe kungundua hilo mapema
kwani hao ambao hawana wito ndo wakuja kutuchafulia jina letu la kanisa letu pendwa..
napenda sana kukupongeza kwa kugundua njia yako mapema...
 
Si unajua kwa chama tawala ushindi ni lazima,unishinde kwa kura,na kwa kuchakachua pia unishinde? hilo haliwezekani.

hahahah lol
mmmhh mie sijashinda kitu chochote..
labda ni kweli nilishinda halafu we ukaiba kura hahha lol
 
hahahah lol
mmmhh mie sijashinda kitu chochote..
labda ni kweli nilishinda halafu we ukaiba kura hahha lol



Hapo labda nikufafanulie kidogo,mimi ndio chama tawala na wewe ndio chama cha upinzani.sasa hapo umenishinda kwa haki kabisa(yaani kwa kura halali)Mwisho ndio nikauliza na kuchakachua nako kutanishinda(kuiba kura)?
 
Haya fanya fanya mfunge ndo halafu urudi kutafuta infii

mmmmmmmm!!! Kama sala ya baba yetu uliye mbinguni???........., my infii shikamoo!!
 
if you DO me I GONNA FABRICATE YOU!......

very serious fabrication

Unatisha kijana, subiri nikimbie usi nifabricate bureee.

Mbioooooooooooooo!!! nawahi ubwabwa na mchuzi kwa mama LD
 
Nashukuru,nimepata mchumba ,kupitia JF, niliweka tangazo kama one month iliyopita, kuna member mmoja akanipa sister yake,tumeelewana taratibu nyingine zinaendelea. Nilipata maombi mengi .

yaani kaka kakupa sister yake ugonge? mmmmhhh Is this a barter trade?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…