Notorious b.i.g na ujumbe ulioshindwa kuiponya dunia

Notorious b.i.g na ujumbe ulioshindwa kuiponya dunia

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Baada ya kifo cha 2 pac September 7 ,1996 , notorious B.I.G alihusishwa sana na kifo cha 2 pac na haya ndio yalikuwa majibu yake .


Kwa maana rahisi
“Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.”

Watu wakifa hakuna kurudi tena kama dunia yote wangetambua hilo kusingekuwa na mauaji wala Vita .

Itatokea vita au mauaji baadae hata mkigundua kulikuwa na makosa hakuna namna ya kurudisha mtu au watu hao .

Miaka mingi imepita baada ya hii miamba kutoweka lakini mauaji hayaja pungua na vita zinapamba moto .

So never wish death upon no one .

Hii ni kwa wote hata wale wanaochoma na kuua vibaka /wezi .

RIP B.I.G and 2 pac​
 
Baada ya kifo cha 2 pac September 7 ,1996 , notorious B.I.G alihusishwa sana na kifo cha 2 pac na haya ndio yalikuwa majibu yake .
View attachment 3061017

Kwa maana rahisi
“Sure we had our hardships, but I would never wish death upon no one. There's no coming back from that.”

Watu wakifa hakuna kurudi tena kama dunia yote wangetambua hilo kusingekuwa na mauaji wala Vita .

Itatokea vita au mauaji baadae hata mkigundua kulikuwa na makosa hakuna namna ya kurudisha mtu au watu hao .

Miaka mingi imepita baada ya hii miamba kutoweka lakini mauaji hayaja pungua na vita zinapamba moto .

So never wish death upon no one .

Hii ni kwa wote hata wale wanaochoma na kuua vibaka /wezi .

RIP B.I.G and 2 pac​
Big alisingiziwa mengi sana kuhusu Tu Pac, tena Tu Pac ndiye alikuwa na “uswahili” mwingi but Big gave no time.
 
Kwa asilimia 99 naamini biggie hakumuua 2pac, ila naamini kwa asilimia zaidi ya 90 biggie aliuwawa na watu wa tupac.
Unaandika baada ya ufafanuzi kutoka. Ungeandika kabla,ingekuwa na maana.
 
Binafsi naweza pass na kuexecute death sentense kwa watu wawili tu mwizi na mchawi.
 
Back
Top Bottom