Vladivostok
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 307
- 1,387
Hongera kwake apige shoo shooMtanzania novatus miroshi ametua ukraine katika klub ya shakhtar kwa mkopo kutokea zulte waregem ya ubelgiji.Hii itampa fursa ya kukipiga Uefa ambapo wamepangwa na barca,porto na royal antwerp ya ubelgiji kongole kwa mtanzania mwenzetu afu jamaa umri bado unadai .
Nimecheka Sana [emoji1787]Na anavirasta siku si nyingi tutasikia yupo chelsea[emoji28]
Hongera nyingi kwake[emoji122]
hivi Ukraine bado kuna maeneo hata mpira wanacheza? nilijua vita ipo kila sehemu. sasa kama bado yapo maeneo salama inakuwaje wakimbizi wamekimbilia san aulaya?Mtanzania Novatus Miroshi ametua Ukraine katika Klabu ya Shakhtar kwa mkopo kutokea zulte waregem ya ubelgiji.
Hii itampa fursa ya kukipiga UEFA ambapo wamepangwa na barca, porto na royal antwerp ya ubelgiji.
Kongole kwa mtanzania mwenzetu afu jamaa umri bado unadai.
View attachment 2736661
Huyu bado kinda,ana muda wa kuonyeshaTwendeni tukamsagie kunguni Kama tulivyofanya kwa Samatta.
Wanatumia Germany Kama uwanja wao wa nyumbani , Kwahiyo dogo akikipiga kisawasawa timu za bundesliga kina Bayern munich zinaweza kumchukuahivi Ukraine bado kuna maeneo hata mpira wanacheza? nilijua vita ipo kila sehemu. sasa kama bado yapo maeneo salama inakuwaje wakimbizi wamekimbilia san aulaya?
Wanatumia Germany Kama uwanja wao wa nyumbani , Kwahiyo dogo akikipiga kisawasawa timu za bundesliga kina Bayern munich zinaweza kumchukua
Wamesha ruhusu bao tatu nusu ya kwanzaView attachment 2755078
leo ameanza .