Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #41
i will be the first one to buy 🙂
M.Mwanakijiji hongera sana mkuu.. Keep up great job..
Looking forward to read that book.
Lol! Hardcore porn unanunua $ ngapi?
Good question! But coming to think of it, hard porn from M. M. Mwanakijiji......eewww, bure ghali!
Mtu yoyote anaefikiri anaweza kufanya kazi ya sanaa, kuitoa kwa umma, na kutokosolewa kwa njia moja au nyengine ni delusional
sasa unaweza vipi kukosoa kitu ambacho hujakiona; now that is delusional! Kwa sababu unakosoa kitu cha kufikirika! Umekaa ukafikiria ni porn; na hivyo ukakosoa porn! I mean if that is not delusional then what is?
Kitabu kina sura ishrin na tano kile, mkuuMkubwa sasa unakana kazi yako mwenyewe?! Sie wewe uliyetuwekea sura ya kumi na utambulisho wa sura ya kumi na moja?
Kitabu kina sura ishrin na tano kile, mkuu
Ungekisoma kwanza kabla ya kutoa critics
Mwandishi anapoweka wazi sura moja wapo kati ya nyingi alizoandika, huwa anachagua ile aonayo inawakilisha vyema kazi yake.
Sisi tumeletewa sura ya kumi iliyojaa ngono laini, kwa hiyo kitabu hiki hata kiwe na sura saba wa sabiini, haijalishi, kitabebwa na sura ya kumi.
well, wewe kama hupendi ngono laini unapenda ngumu inabidi uzame huko huko kwenye ngumu ngumu...
Ukuta wa upande wa kulia ulikuwa na shefu moja iliyoshikizwa vizuri ukutani ndani yake kukiwa na vyombo mbalimbali vya glasi. Vyombo vingine vya bati vilikuwa chini ya meza na vile vya udongo na maglasi mbalimbali vikiwa kwenye kabati kubwa pembeni ya sebule.
Anavyopendelea Gaijin si cha msingi. Cha msingi ni "jee, bei ya kitabu hiko inahalis' au la?" Nionavyo, bei hiyo haihalis' kwa sababu:-
1. Kwa kitabu cha ngono laini (tena paper back) hiyo bei ni kubwa mno ukilinganisha na vitabu vilivyopo sokoni.
2. Lugha iliyotumika ni fyongo. Kwa hiyo, si kama mtu atapata manufaa ya kujifunza Kiswahili. Nitatoa mfano mdogo
Tanabahi:
Review uliyotuweka isemayo "Shigongo sasa kapata mshindani aliye saizi yake" inadhihirisha kuwa kuna makubaliano kwa wasomaji kuwa ni kitabu cha ngono laini
Nimeona kuna watu humu wanaona hiyo $13 (about sh 20,000) ni kubwa! Ili kurudisha tu gharama hii utahitaji kuuza si chini ya nakala 6,400! Si kazi ndogo sana hii.Can u believe this; nimepatiwa invoice ya milioni 129 kuchapisha hiki kitabu!!!! VAT asilimia 18... nadhani China ni bora zaidi
?????????????????????????When Erica Tossi is betrayed by her fiancee a week before her wedding she falls into deep dark depression. But, seven days later she come out of it with her worldview on love and romance totally twisted. She goes out on a mission of revenge against men... like Sam Lugo. Avenging herself - and probably other women as well who have been hurt by heartless men - she does. As victims of her twisted actions keep on piling up her fate seems to have been sealed. Until, she meets Dr. Shedrack Smith - a popular talk show host in Tanzania and a lecturer at UDSM whose life's story rivals that of Erica. When their two worlds collide in a conspiracy of fate what is left is pain tears, and anguish. No one is left untouched; not even the reader! The dramatic finish rivals those of highly acclaimed movies!
Hongera Mzee Mwanakijiji...kuandika riwaya si kazi ndogo. Kama vitabu hivyo vingeweza kupatakina pia kwenye bookshops za East Africa, ingekuwa na msaada mkubwa pia.
Nimeona kuna watu humu wanaona hiyo $13 (about sh 20,000) ni kubwa! Ili kurudisha tu gharama hii utahitaji kuuza si chini ya nakala 6,400! Si kazi ndogo sana hii.
Nimeona kuna watu humu wanaona hiyo $13 (about sh 20,000) ni kubwa! Ili kurudisha tu gharama hii utahitaji kuuza si chini ya nakala 6,400! Si kazi ndogo sana hii.
Kwa nchi ambayo nusu ya watu wake wanaishi chini ya dola moja kwa siku, kusema dola 13 ni kidogo, ni kutujejea, kwa sababu hiyo ni nusu ya pesa ya mwezi [bila ya kuzingatia PPP]
Kwa watu wanaoishi nje, dola 13 kwa kitabu cha riwaya ni nyingi mno, kwa sababu kwenye soko vipo vya waandishi mashuhuri na mahiri zaidi kwa bei nafuu.
Mnunuzi haelewi habari za uchapishaji, kwa sababu anajiuliza mbona waandishi wengine wanauza kwa bei nafuu?
Kusema ukweli sina uzoefu sana wa bei za vitabu vya namna hii kwa hapa kwetu, kwa hivyo sipo katika position ya kusema kama hao wengine wanauza chini ya sh 20,000 au la (kwa vitabu vilivyochapishwa kwa gharama kama hii aliyosema MM). Lakini najaribu tu kuangalia, kama gharama za kuchapisha ni za viwango hivyo, ni wazi bei za vitabu zitakuwa kubwa pia.Mnunuzi haelewi habari za uchapishaji, kwa sababu anajiuliza mbona waandishi wengine wanauza kwa bei nafuu?
Btw, unawezaje kuona sh 20,000 ($ 13) gharama kubwa kwa msomaji mtanzania bila pia kuona Sh 129m ya kufanya uchapaji wa vitabu ni kubwa pia kwa mwandishi wa kitanzania?
ni wazo zuri kweli; kwa mtu kama huyo hapaswi kununua kitabu asije kufa njaa. Na zaidi ni kuwa kwa mtu wa namna hiyo hata kufikiria kununua kitabu ni luxury ambayo hawezi kutakiwa kujaribu. Yule mwenye uwezo wa hizo dola 13 atanunua tu kama hana uwezo hapaswi kununua. Na kama unavyosema kama anaweza kununua kitabu kingine cha waandishi mashuhuri kwa bei ya chini anapaswa kufanya hivyo.