NOW AVAILABLE: "Majeruhi wa Mapenzi" - Pata Nakala yako sasa...


Ndugu yangu kitabu ndio kimetoka tu hata hajauza kopi kadhaa unataka apunguze bei, mimi navyofahamu unapotoa kitabu ukatangaza bei,unaangalia watu watakavyo respond,wewe unaweza kuona expensive lakini kwa wengine ikawa si expensive. MM anaweza kujikuta hiyo bei unayoiita ghali akauza kopi nyingi ikamlazimu kutoa nyingine, na kama hatopata response anayokusudia,kupunguza price ni one of the strategies.
 


Naweza vaa nafasi ya uapologist in other matters, but this does not qualify as one of them. Natetea nisichokijua, kwamba what you know ndio absolute na hili nijualo mie n i wrong? Wewe ukiwa kama nani nitumie vigezo vyako kuwa ndio msingi wa kukubali what I know?

Arguing kuwa Mass production can be as hypothetically random as per the numbers you have mentioned; is crystal clear it is for the sake of arguments sake! FYI Pros huwa wanaweza fathom kama kitabu ni Best seller or not evern before it has been sold… (Thou kuna zile huja kua a Hit na they were never predicted). That is what is meant and the sole purpose of reviewing before the final print… Mind you: Reviwing the whole book inside out and not just a chapter or words from a chapter.... Which you and I know kuwa umenielewa na that was my intent. When we come to "rare" of course it being a relative matter, we may collide in clarification no matter how much we quote each other.
 

thanks, nadhani sasa wote tunaelewana.
 
Hongera kwa kazi nzuri ya utunzi,ila ungeyupatia japo dondoo kidogo ya kilichomo ndani.Mwandishi silaha yake kuu/jembe lake na shamba lake ni kalamu na karatasi,yapo mengi sana ya kuandika tunaomba uyaandike ili watanzania walioko wengi wayapate,Maadili ya kiongozi,umuhimu wa kuwa na viongozi bora na sibora viongozi na umuhumu wa kusoma riwaya za wandishi na mengineyo.
 

Nadhani hilo litawezekana sometimes next week
 
Eti kitabu bei ghali, kwani vipeperushi vya bure huwa tunasoma? Watu wengine hata aya hawajawahi kuwaza kuandika, zaidi ya post humu JF agggggggggghhhhhhhhh!!!!!!!!

kwa kweli sikuwa na mpango wa kucheka lakini hapa nimecheka; thanks!
 
MMM ameshalitolea ufafanuzi hilo, na mimi ni nani mpaka nimpinge? lakini as a reader najua wapi pa kupeleka pesa yangu, hakuna mjadala ktk hilo.
 
Eti kitabu bei ghali, kwani vipeperushi vya bure huwa tunasoma? Watu wengine hata aya hawajawahi kuwaza kuandika, zaidi ya post humu JF agggggggggghhhhhhhhh!!!!!!!!
Uhuru uleule unaoutumia kusema kitabu si ghali, ndo uhuru huo tunaoutumia sisi kusema kitabu ni ghali. Concerns zetu tumeziweka na MM partly amefafanua kwa upande wake. Tumefaidika na ufafanuzi wake.
Suala la kuwa waandishi au kutokua waandishi that is immaterial maana kila mtu ana utashi wake na sote hatuezi kuwa waandishi ili ku-make a point...otherwise it is a typical ad hominem.
 

Ukokotoaji wa bei kulingana na category ya kitabu ndio ulikuwa msingi wa mjadala huu kufikia ukurasa huu, kwa kiwango kikubwa. Maelezo ya MM aliyoweka mwishoni yana make sense zaidi kuliko blind price justification zilizokuwa assumed before. If I look closely,

Kwanza hili suala la mass-production/bestselling, unasema mass production ya bestseller inashuka kutokana na kuwa ktk hiyo category, kitu ambacho si kweli na hakimeki sense. Kwa nini mchapishaji ashushe bei wakati anajua kuna demand ya kutosha na ya ukweli ya kitu atachompa distributor wake? makes no sense at all.

Pili narejea tu kufafanua kuwa best-selling depends on numbers, na categorization zinategemea geographics, huezi ukasema 50K sales is best-selling ktk global scale, pengine kwa Tz market 50K might be a best selling figure..huo ni mfano tu na ndio kuelezea zile hypothetical figures za mass-production. Ni vema kutambua hili kabla ya kudismiss kuwa ni argumentative figures only.

Tatu, kusema kitabu fulani kinajulikana kuwa ni best-seller during reviewing stage is pure BS, na sijui ina-apply vipi kwene hii kadhia tunayoijadili (!?). Kuna factors za ziada kuliko unavojaribu ku-oversimplify.

Nne, l disagree in rarity of the book based on 'language' used, hata ukiangalia book description ya MM is written in English (MM anajua anachofanya hapa, no doubt!!) Inaweza kuonekana kama window of opportunity lakini ikawa ni kinyume chake maana kuna wengine hiyo lugha kuwagonga ndo ikawa sababu ya wao kutokununua.

Labda kumalizia tu, maelezo ya MM kuhusu pricing yamekuwa informative na alikuwa na window ndogo ya kuji-adjust japo uamuzi wa mwisho ni wa kwake mwenyewe, hakuna mwenye hatimiliki ya kazi yake zaidi ya yeye mwenyewe, which we should all respect that at the end of the day.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…