Now it's a month am surviving alone! tusaidiane wakuu..

Pole sana mkuu. Yaani mpaka hapo huyo dada hakuhusu kabisa, its better to continue taking ur time na kuconcentrate ktk maisha yako. Umeshafanya maamuzi ya kuachana nae, ukapiga hatua na leo unasurvive bila yeye, then be strong usirudi nyuma na wala usiruhusu akulie units katika fikra zako. Usijiulize maswali mengi sana juu yake coz naamini utabaki na 'LABDA' tu, na usipate jibu la kueleweka zaidi ya kupoteza muda wako ambao una thamani kubwa. Fungua ukurasa mpya, forget about her!
 
asante wakuu mnaondelea kunipa moyo. Nafarijika sana! tuendeleeni na michango..
 
Tuliza akili utapata mbongo mwenzako mtakuwa fresh, uko mji gani nikuconnect na watz
wakupe company.......pole sanasana jipe tu muda wa kuweza kusahau , avoid sehemu au vitu
vinavyokupa memory za mapenzi yenu, kaza buti tumia muda mwingi kusoma
na kufanya mazoezi,itasaidia kiasi
 
Kijana concentrate na masomo yako; ukiwa ***** unaweza ukajikuta umekosa manzi na shule ikakushinda. Kama manzi amesepa so be it; that is not the end of the world, life must go on!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…