Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Wakuu heshima kwenu,
Kuna gari Nissan Caravan ya 2007 CC 2950 ya Diesel.(Engine Z30)
Hii gari ilikuwa inatumia lita 1 kwa km 9.
Sasa kuna mtu aliweka Petrol kuanzia hapo tatizo likaanza lita 1 ikawa km 8 hadi sasa lita 1 kwa km 6.
Mafundi wamekagua na kushauri ninunue Nozel zake 4 hivyo naomba kwa mtu anayejua solution ya kuondoa ulaji mkubwa wa mafuta au anayeuza Nozel.
Naomba unitumie namba zake PM ili tuwasiliane kwa uraisi.
Asanteni.
Kuna gari Nissan Caravan ya 2007 CC 2950 ya Diesel.(Engine Z30)
Hii gari ilikuwa inatumia lita 1 kwa km 9.
Sasa kuna mtu aliweka Petrol kuanzia hapo tatizo likaanza lita 1 ikawa km 8 hadi sasa lita 1 kwa km 6.
Mafundi wamekagua na kushauri ninunue Nozel zake 4 hivyo naomba kwa mtu anayejua solution ya kuondoa ulaji mkubwa wa mafuta au anayeuza Nozel.
Naomba unitumie namba zake PM ili tuwasiliane kwa uraisi.
Asanteni.