nshaanza kupata mashaka na hiki chuo.

nshaanza kupata mashaka na hiki chuo.

man of steel

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
1,099
Reaction score
2,354
naona kila mtu ana furaha na chuo chake alichochaguliwa hata mimi pia ila naanza kupata mashaka na hiki chuo ambacho mimi nimepangiwa hamna updates zozote kwenye website yao kuhusu sie tunaoenda kuanza hata majina ya ambao tumechaguliwa pale mpaka leo hawajaweka kuhusu usahili pia hola kama hili tu la website majanga hivi je huko chuoni management zinaeleweka kweli mpaka saa hivi kiukweli sijui lolote kuhusu chuo changu maana siamini taarifa za kuambiwa mpaka nione kwenye website sasa kama kuna mtu yupo ardhi university anaweza kutoa ufafanuzi au hata kufikisha hizi taarifa kwa wahusika atoe msaada please.
 
Chuo makini hicho dogo hakikurupuki kwenye mambo yake, ulizia mwaka jana ilikuwa hvyo hvyo
NB; watatoa majina pamoja na joining instruction kwa wakati mmoja,
USHAURI wangu punguza paparaa point zako ndogo nn ndo maana hujiamini kama umepata ardhi university.! Just (joke) mwana aru-uclas mwenzangu..! Over
 
Last edited by a moderator:
Chuo makini hicho dogo hakikurupuki kwenye mambo yake, ulizia mwaka jana ilikuwa hvyo hvyo
NB; watatoa majina pamoja na joining instruction kwa wakati mmoja,
USHAURI wangu punguza paparaa point zako ndogo nn ndo maana hujiamini kama umepata ardhi university.! Just (joke) mwana aru-uclas mwenzangu..! Over

sawa darius see you there ila point zangu zinanifanya nisome chuo chochote hapa nchini ambacho kipo under TCU tatizo limitations zinaletwa na kitu nichotaka kusomea...over...
 
Last edited by a moderator:
naona kila mtu ana furaha na chuo chake alichochaguliwa hata mimi pia ila naanza kupata mashaka na hiki chuo ambacho mimi nimepangiwa hamna updates zozote kwenye website yao kuhusu sie tunaoenda kuanza hata majina ya ambao tumechaguliwa pale mpaka leo hawajaweka kuhusu usahili pia hola kama hili tu la website majanga hivi je huko chuoni management zinaeleweka kweli mpaka saa hivi kiukweli sijui lolote kuhusu chuo changu maana siamini taarifa za kuambiwa mpaka nione kwenye website sasa kama kuna mtu yupo ardhi university anaweza kutoa ufafanuzi au hata kufikisha hizi taarifa kwa wahusika atoe msaada please.

duuuh....man of steel....yan unamawazo kama yangu ....ila leo nimejaribu kupiga simu wamesema kuwa watatoa majina week hii ngoja tuendelee kuwa nasubira
 
duuuh....man of steel....yan unamawazo kama yangu ....ila leo nimejaribu kupiga simu wamesema kuwa watatoa majina week hii ngoja tuendelee kuwa nasubira

vip kwan ulipata course gan pale ?? mim ni Bach.scien in RDP
 
Kwanini hujaenda ud basi??

usiwe kilazaa fungua akili, dogo anapenda kusoma architecture/building economics/geoinformatics/enviromental engineering, vp hizo course program udsm zipo..! Kama hamna pigaa kimyaaa
onyO ; citaki malumbano Overr
 
Last edited by a moderator:
Kwanini hujaenda ud basi??

UD chuo bora sawa kabisa tatizo sijaangalia sifa hizo nimeangalia fursa ambazo mimi ninazo ndizo zimenifanya nijaze environmental engineering ambayo ipo ardhi na kuacha hizo civil,petrolium na geology za UD alafu cha kuongezea tu sijawahi kukosa vigezo sehemu yeyote katika masuala ya elimu labda vigezo vya kijinsia ila kitaaluma sijawah.
 
UD chuo bora sawa kabisa tatizo sijaangalia sifa hizo nimeangalia fursa ambazo mimi ninazo ndizo zimenifanya nijaze environmental engineering ambayo ipo ardhi na kuacha hizo civil,petrolium na geology za UD alafu cha kuongezea tu sijawahi kukosa vigezo sehemu yeyote katika masuala ya elimu labda vigezo vya kijinsia ila kitaaluma sijawah.

vigezo vya KIJINSIA sijakuelewa vizuri apo,sielewiiiiiiiiiiiiiii hahaha
 
UD chuo bora sawa kabisa tatizo sijaangalia sifa hizo nimeangalia fursa ambazo mimi ninazo ndizo zimenifanya nijaze environmental engineering ambayo ipo ardhi na kuacha hizo civil,petrolium na geology za UD alafu cha kuongezea tu sijawahi kukosa vigezo sehemu yeyote katika masuala ya elimu labda vigezo vya kijinsia ila kitaaluma sijawah.

ahahaa kweli hiyo komesha wabishi na wale wanaopenda malumbano
 
usiwe kilazaa fungua akili, dogo anapenda kusoma architecture/building economics/geoinformatics/enviromental engineering, vp hizo course program udsm zipo..! Kama hamna pigaa kimyaaa
onyO ; citaki malumbano Overr

jibu lako zur sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mbona na nyie mnaonekana wasomi feki. jf sio sehemu ya kujisifia wala kutambiana. kama wasomi kweli mnapaswa kuelimisha jamii kama lilivo jina la hii link. kama mtaendelea hivi haipo haja ya kuitwa wasomi bali waimba taarabu tu nyie..... watu wanasoma havard ila humu wapo kimya wanatoa maujanja tu kwa jamii afu nyie wa vyuo vumbi ndo mnaropokaropoka majigambo tu!! hamna lolote!!
 
usiwe kilazaa fungua akili, dogo anapenda kusoma architecture/building economics/geoinformatics/enviromental engineering, vp hizo course program udsm zipo..! Kama hamna pigaa kimyaaa
onyO ; citaki malumbano Overr
mitoto humu ndani mizombi kweli. Yaan inajali jina la chuo badala ya kozi. Iko tayari kusoma kozi ya kishwain udsm na kuacha kozi za maana college zingine. Kwa mtindo huu jiandaen kusota baada ya kumaliza.fuata maarifa
Siyo jina la chuo.
 
Last edited by a moderator:
mitoto humu ndani mizombi kweli. Yaan inajali jina la chuo badala ya kozi. Iko tayari kusoma kozi ya kishwain udsm na kuacha kozi za maana college zingine. Kwa mtindo huu jiandaen kusota baada ya kumaliza.fuata maarifa
Siyo jina la chuo.

well said mkuu!!
 
usiwe kilazaa fungua akili, dogo anapenda kusoma architecture/building economics/geoinformatics/enviromental engineering, vp hizo course program udsm zipo..! Kama hamna pigaa kimyaaa
onyO ; citaki malumbano Overr
mitoto humu ndani mizombi kweli. Yaan inajali jina la chuo badala ya kozi. Iko tayari kusoma kozi ya kishwain udsm na kuacha kozi za maana college zingine. Kwa mtindo huu jiandaen kusota baada ya kumaliza.fuata maarifa
Siyo jina la chuo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom