Dah huu mwaka wangu naona masika inaisha bado niko nyumbani na NSSF nao wamenichinjia baharini!! 😛eep:
Dah huu mwaka wangu naona masika inaisha bado niko nyumbani na NSSF nao wamenichinjia baharini!! 😛eep:
duh kumbe nao wameita, matumaini yanazidi kupungua maana kila kona saivi ni kutoswa tduh kumbe nao wameita, matumaini yanazidi kupungua maana kila kona saivi ni kutoswa tu:thinking:
wakuu tusikate tamaa kwani Mungu wa siye tusio na vimemo anaishi.
Dah huu mwaka wangu naona masika inaisha bado niko nyumbani na NSSF nao wamenichinjia baharini!! 😛eep:
Fikra finyu na uoga Wa maisha, Kwani lazima uajiriwe? Utangoja sana, the wise says, the priority of priority is to know what is priority than wasting your time and find when it is too late that NSSF na Ajira havikuwa priorities.
Heshma kwenu wana jamvi.Ndugu yangu jana kapgiwa cmu kuwa ajiandae na oral interview ya jumatano tarehe 28.Wengne leo asubuh wamepgiwa waende alhamis ya tar 29. Bdo cjajua kama wataendelea kuita au laa.Hyo ni info fupi nloipata jana na leo .Kama kuna mdau mwenye taarifa tofauti na hii atujuze ili tuwape ndugu zetu walio mbali wanaoish USANDANGONGELE.sankyu
jamani naombeni mnisaidie, hivi NSSF wameita oral interview kwa walioomba post ya finance, my young sister is very desperate right now na alikuwa anategemea sana, mpaka sasa hivi hajaitwa.
Naomba mwenye taarifa au ambaye ameitwa kwa hiyo nafasi anijuze tafadhali ili kama wameita nijue namna ya kumkansel.
thanks.