Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Sasa iyo ni kwa wafanyakazi mimi niliejiajiri itakuaje chief 😆mmbo magumuUnawezaje kumzungusha mtu kwa delays zinazohusisha wafanyakazi wa ndani(wa nssf) na wakati mtu ametimiza kila taratibu za kisheria. Tuweni serious tuache kutetea uzembe. Mfano kuna waajiri hawapeleki michango ya wafanyakazi wao mpaka miaka 2 halafu hapo utasema kuna utendaji lazi? Ukizingatia sheria ipo wazi kua mfanyakazi kila mwezi akatwe 10% na muajiri 10% sasa kwa nini mpaka inafika miaka 2 nssf wako wapi wasifanye ukaguzi wanakula tuu hela za walipa kodi
Wewe hyo yako haina longolongo we anza kujiwekea kaka. Hyo unalipwa wakati wowote. Ila kama mimi ningekua wewe ni bora ninunue shares kwenye makampuni mfano NMB ambapo utapata dividend na pia unaweza kuziuza kwa bei nzuri baadae kuliko nssf.Sasa iyo ni kwa wafanyakazi mimi niliejiajiri itakuaje chief 😆mmbo magumu
DuhWewe hyo yako haina longolongo we anza kujiwekea kaka. Hyo unalipwa wakati wowote. Ila kama mimi ningekua wewe ni bora ninunue shares kwenye makampuni mfano NMB ambapo utapata dividend na pia unaweza kuziuza kwa bei nzuri baadae kuliko nssf.
nikuulize swali.Sikushaur kuweka hela zako nssf ni bora uweke kwenye mifuko ya bond...nssf utaweka hela ila kuja kuzitoa utaona duniaa chungu yan pesa yako mwenyewe kutoa inakuwa na vipengele
Umeongea ukweli HALISI.Kuna tatizo kubwa la kiutendaji NSSF.Nina uzoefu na aina ya huduma wanazotoa its totally unacceptable.Habari wana JF!
Ndugu zangu ninawaomba kila mmoja kwa wakati wake akiweza apite kwenye tawi lolote la NSSF nchini atake kupatiwa huduma yeyote ajionee jinsi pesa za walipa kodi zinavyotumika kulipa wapiga stori wanaojiita wafanyakazi.
Nimewahi kufika tawi la Arusha mjini kwenye kitengo cha benefits nikashuhudia kuna foleni ya watu wanasubiri huduma halafu wafanyakazi tunawaona kabisa wanapiga stori tena personal kabisa wako watatu hadi mzee mmoja akapaza sauti kuwaita kwa ukali ndio wakaja. Hapo hapo Arusha nilipeleka form yangu ili waitume tawi la Moshi wakaipokea ila hawakuituma hadi nilipofuatilia makao makuu Dar na ikabidi nisubmit copy na ile original niliacha Arusha gorofa ya pili ofisi namba 4 hawakufanya lolote.
Niliwahi pekeka form yangu ya marekebisho toka kwa mwajiri wangu 2021 September kituo cha Moshi mjini ambapo ndipo mwajiri wangu alikua akipeleka michango yangu ila mpaka mwaka 2023 June michango ilikua haionekani ikabidi nianze kufuatilia branch ya Kibaha nilipokua naishi ndipo NSSF Moshi wakai update kwenye system yao ndio nikawa naiona michango yangu.
Yaan kuna negligence na majibu ya ajabu mno toka kwa wafanyakazi asilimia kubwa wa nssf. Ila NSSF ya Kibaha ina wamama flan wana spiriti sana ya kazi, siku za j3 kunakuwaga na foleni kubwa mno lakini hawa wamama nilishuhudia waliita wateja wakasikiliza shida za kila mmoja na kuzitatua ndani ya muda mfupi sana. Kiukweli sehemu zingine mtu ameenda NSSF kuangalia statement tuu anakalishwa masaa 5
Hivi hakuna team inayoweza kuzunguka nchi nzima watu watolewe waajiriwe wengine, wapo vijana wengi mtaani wachapa kazi hawana ajira, ikifanyika safisha safisha hata kwa mwaka mara moja nidhamu itakuepo.
Haya ndiyo maneno yenu ofisini.Nyie watoto punguzeni hizi tuhuma za kipuuzi..
Unafahamu wangapi wananufaika na NSSF?
STUPID
Cjakuelewa bado chief apa anaeweka mwenyew na mwajiriwa tofauti yke nn na kwann ikawe na VIPENGELE ivoSikushaur kuweka hela zako nssf ni bora uweke kwenye mifuko ya bond...nssf utaweka hela ila kuja kuzitoa utaona duniaa chungu yan pesa yako mwenyewe kutoa inakuwa na vipengele
Moderators hizi tabia za kulea Uzi zinazodharirisha taasisi za UMMA sio haki..try to be fair
Nyie watoto punguzeni hizi tuhuma za kipuuzi..
Unafahamu wangapi wananufaika na NSSF?
STUPID
Vimada hivyo, vimetoa tiGo ndio vikapewa kazi.Habari wana JF!
Ndugu zangu ninawaomba kila mmoja kwa wakati wake akiweza apite kwenye tawi lolote la NSSF nchini atake kupatiwa huduma yeyote ajionee jinsi pesa za walipa kodi zinavyotumika kulipa wapiga stori wanaojiita wafanyakazi.
Nimewahi kufika tawi la Arusha mjini kwenye kitengo cha benefits nikashuhudia kuna foleni ya watu wanasubiri huduma halafu wafanyakazi tunawaona kabisa wanapiga stori tena personal kabisa wako watatu hadi mzee mmoja akapaza sauti kuwaita kwa ukali ndio wakaja. Hapo hapo Arusha nilipeleka form yangu ili waitume tawi la Moshi wakaipokea ila hawakuituma hadi nilipofuatilia makao makuu Dar na ikabidi nisubmit copy na ile original niliacha Arusha gorofa ya pili ofisi namba 4 hawakufanya lolote.
Niliwahi pekeka form yangu ya marekebisho toka kwa mwajiri wangu 2021 September kituo cha Moshi mjini ambapo ndipo mwajiri wangu alikua akipeleka michango yangu ila mpaka mwaka 2023 June michango ilikua haionekani ikabidi nianze kufuatilia branch ya Kibaha nilipokua naishi ndipo NSSF Moshi wakai update kwenye system yao ndio nikawa naiona michango yangu.
Yaan kuna negligence na majibu ya ajabu mno toka kwa wafanyakazi asilimia kubwa wa nssf. Ila NSSF ya Kibaha ina wamama flan wana spiriti sana ya kazi, siku za j3 kunakuwaga na foleni kubwa mno lakini hawa wamama nilishuhudia waliita wateja wakasikiliza shida za kila mmoja na kuzitatua ndani ya muda mfupi sana. Kiukweli sehemu zingine mtu ameenda NSSF kuangalia statement tuu anakalishwa masaa 5
Hivi hakuna team inayoweza kuzunguka nchi nzima watu watolewe waajiriwe wengine, wapo vijana wengi mtaani wachapa kazi hawana ajira, ikifanyika safisha safisha hata kwa mwaka mara moja nidhamu itakuepo.
Sasa mbn unanitisha nilitaka nikajiunge nao maana wamepita mtaani kutoa elimu kwa wajasiria Mali ila sikupata elimu yakutosha sasa nimepata nakutana na hili swala lako Sasa apa unanishaurije[emoji1787][emoji1787]
Kuna jamaa alitupa chungwa alilokula lugalo pale kama unaenda mwenge asbh kilichotukuta Mungu anajua😄Hiyo kweli mkuu,,, wale watu ni wanazarau sijawah kuona,,,wamebak kunenepeana tu watu wanazungushwa mpk unashangaa hawa bila Sisi kukatwa hela mishahara watatoa wapi,,,wanamajib ya ovyo hawaangalii mkubwa mzee au mgonjwa utazungushwa had ukome na Kuna mzee toka 2017 hadi leo hajalipwa mafao yake mpaka amekata tamaa,kila akiend nikuzungushwa tu,mara hamna internet