Sisi kama shirika hatuna makuu. Unlike PPF, PSPF, na wengine
Tunafanza investments ambazo zinawagusa wanachi moja kwa moja. Alitekuwa anatuchelewesha. Hazupo tena na serikali ishaji toa kauli kilichobaki ni kuleta maandishi ili watu wajimwage site. Kwa kuonzesha how serious we are. Tayari tenda zishatangaywa na walau tunaweza kupunguza unemplozment kwa muda, na serikali ikafaidia na taxes na baada za mradi kuisha mlio na mashamba vijibweni na kibugumo mtakuwa hamuna haja za kuzunguka