Nenda Unoversity of Dodoma ambayo inajengwa na hizi pensio funds tazama faculty iliyojengwa na NSSF (in record time) halafu tazama akina PPF na PSPF wanavyosua sua
Au pita KILWA ROAD POlisi uone...nyumba zilizojengwa na NSSF ndio ziko barabarani na zishaisha na wenyewe washa move in. Zinazojengwa na PPF ziko vile vile and no one knows when they will be ready
NSSF watawekeza fedha na sio watafuwa wao umeme. Mbona mnapenda kuchanganya mambo?
NSSF washawekeza kwenye majumba, kwani wao ndio wanajenga? Si huwapa kampuni za kujenga? Na majumba yakishakuwa tayari kwani wao ndio wanaya-manage? Si wanawapa kampuni za real estate zenye uzoefu?
Hali kadhalika kwa umeme, itakuwa hivyo hivyo, na tuondokane na haya madudu ya Tanesco.
NSSF watawekeza fedha na sio watafuwa wao umeme. Mbona mnapenda kuchanganya mambo?
NSSF washawekeza kwenye majumba, kwani wao ndio wanajenga? Si huwapa kampuni za kujenga? Na majumba yakishakuwa tayari kwani wao ndio wanaya-manage? Si wanawapa kampuni za real estate zenye uzoefu?
Hali kadhalika kwa umeme, itakuwa hivyo hivyo, na tuondokane na haya madudu ya Tanesco.
Hizi investments zinamsaidiaje mwanachama kupata mafao makubwa zaidi akistaafu? Hawa Polisi/UDOM wanalipa rent ya kutosha (market rate) ku-justify investments hizi au ndio political driven investments ambazo return zake ni minimal or no returns at all.
huyo mwambie akakojoe alale ili asisumbue watu badae kumsindikiza chooni... he/she mustbe on somethingDude!!! You must be joking, Umeme sio kama real estate don't take National matters very simple
yesu maria na yosefu.... huyu nae kaja ki-makamba-makamba Mungu wangu
ulitaka kusema nini? kuna mtu kasema nssf ndio wanapiga matofali au kubeba zege hapa
kakojoe ulale naona hujamaliza usingizi
kuna ukweli... ila pia ujue they could have done better kama wasingejiingiz kwenye siasaMnyonge Mnyongeni haki yake mpeni, toka ashike Dau, NSSF imebadilika sana na imeboreshwa sana na inaendelea kuboreka kila kukicha. Leo NSSF wanalipia mpaka matibabu, uzazi, maziko. Ilikuwa hata haifikiriki kabla ya Dau.
hilo nalikubali, kwani ni kiza hikihiki ndicho ulichonacho wewe ila hujadungua tu, kiza tunacho wote na nashukuru mie nimekubali ninacho... wewe je?Soma vizuri posts, ndio nyinyi "hawaoni", "hawasikii" na nyoyoni mna kiza.
kuna ukweli... ila pia ujue they could have done better kama wasingejiingiz kwenye siasa
BTW, kumbuka kuna current pressure ambazo zinalazimisha certain organization kubadili approach, hayo ya uzazi yangekuwepo tu tena bila ya dau, ni global trend.... hebu niambie kwanini nssf wanashindwa kuendesha bima ya afya??
huyo mwambie akakojoe alale ili asisumbue watu badae kumsindikiza chooni... he/she mustbe on something
Rome was not built in a day. NSSF ilikuwa ni mbinde hata kulipa watu mafao yao. Leo NSSF wanalipa tena haraka sana, wanatangaza, wanaelimisha wanachama wao.
Wana mengi mazuri mapya na wanazidi kuboresha, hawajafika wanapopataka lakini wapo pazuri. Hilo la kuingilia siasa mimi sijaliona. Naona maaskofu tu ndio wanaingilia siasa.
Tuwapongeze NSSF, tumpongeze Dau kwa kazi nzuri wanazofanya.
Keep it up Dau.
Wamalize hii waliyoizindua tayari otherwise waache porojo za kuzima DOWANS:
- Kigamboni bridge
Kama huyu jamaa hafanyi kazi NSSF sijui yaani yeye anataka tufananishe mradi wa Nyumba na Umeme waanze kujenga basi Daraja la kigamboni ambalo tumesubiria for ****in 5 years yet nuthin is happening leo hii wanataka ku-jump kwenye umeme why all of the sudden rush waliyonayo kwenye kuinvest kwenye umeme what happened kwa Daraja la Kigamboni????
Daraja la Kigamboni its the thing of the past, katika mchakato wa daraja ikaoneka si daraja tu linalohitajika, ni kuiboresha kigamboni yote na NSSF wana/wata play part kubwa sana. Hujui kuhusu New Kigamboni City? Unanishangaza sana.
Dude you are mixin up things are you on crack or what can't you see things?????