NSSF Mnachokifanya kunyanyasa na kudhulumu wachangiaji sio sawa.

NSSF Mnachokifanya kunyanyasa na kudhulumu wachangiaji sio sawa.

Mzalendo07

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
71
Reaction score
120
Mie kama mmoja wa wachangiaji niliyeona adha ya NSSF nimeona ni wajibu wangu kupaza sauti labda anaweza tokea Kiongozi anayejitambua na kuamua kulibeba hili na kuwasaidia Wananchi wa Sekta binafsi wanaochangia Mfuko wa NSSF.

Shida wanazokumbana nazo Wachangiaji ni zifuatazo:

1. Ukiomba fedha zako za kujikimu unavyokuwa umeacha kazi ama umefukuzwa ama mkataba umeisha, NSSF wanasema wanakupa 33% ya mshahara wako tena baada ya miezi miwili kupita. Hiki kiasi ni kidogo sana mtu kujikimu tena akiwa na familia, kwa nini wasitoe asilimi 30% ya fedha iliyokuwepo alafu ndio waanze kukupa 33% ya mshahara wako kwa kipindi ya miezi 18 angalau hiko kiasi kinaweza kukusaidia kufungua biashara yako ndogo.

2. Mtu ukiwa umefanya kazi kwenye makampuni zaidi ya moja ,kipindi unaomba fedha ya kujikimu ya kutokuwa kazini wao wanaanza kutaka kuthibitisha michango yako ya makampuni ya mwanzo ingali kwao fedha ya michango inasoma. Sasa ayo makampuni yakiwa yamefungwa na hayapo tena Nchini wanashindwa kukupa fedha kisa wameshindwa kuthibisha. Swali ni kwamba wanachotaka kuthibitisha ni nini? Na kama hiyo kampuni imefungwa wewe mchangiaji kwanini udhulumike.

3. Wanaweza poteza satifiketi na barua ya kusitishwa ama kuacha kazi lakini wanataka wewe ulete nyingine na wakati mwajiri hawezi toa tena

4. Wastaafu wanasumbuliwa bila kujali unapotoka.

5. KWA KIFUPI NI HIVI NSSF HAWASAIDII MTU WAKATI YUKO KWENYE MAITAJI NA FEDHA ZAKE LAKINI WAO NDIO WA KWANZA KUZISUMBUA KAMPUNI KWENYE KULIPA MICHANGO YA WAFANYAKAZI MPAKA WANAWAPIGA PENATI WAKICHELEWESHA .
 
Mie kama mmoja wa wachangiaji niliyeona adha ya NSSF nimeona ni wajibu wangu kupaza sauti labda anaweza tokea Kiongozi anayejitambua na kuamua kulibeba hili na kuwasaidia Wananchi wa Sekta binafsi wanaochangia Mfuko wa NSSF.

Shida wanazokumbana nazo Wachangiaji ni zifuatazo:

1. Ukiomba fedha zako za kujikimu unavyokuwa umeacha kazi ama umefukuzwa ama mkataba umeisha, NSSF wanasema wanakupa 33% ya mshahara wako tena baada ya miezi miwili kupita. Hiki kiasi ni kidogo sana mtu kujikimu tena akiwa na familia, kwa nini wasitoe asilimi 30% ya fedha iliyokuwepo alafu ndio waanze kukupa 33% ya mshahara wako kwa kipindi ya miezi 18 angalau hiko kiasi kinaweza kukusaidia kufungua biashara yako ndogo.

2. Mtu ukiwa umefanya kazi kwenye makampuni zaidi ya moja ,kipindi unaomba fedha ya kujikimu ya kutokuwa kazini wao wanaanza kutaka kuthibitisha michango yako ya makampuni ya mwanzo ingali kwao fedha ya michango inasoma. Sasa ayo makampuni yakiwa yamefungwa na hayapo tena Nchini wanashindwa kukupa fedha kisa wameshindwa kuthibisha. Swali ni kwamba wanachotaka kuthibitisha ni nini? Na kama hiyo kampuni imefungwa wewe mchangiaji kwanini udhulumike.

3. Wanaweza poteza satifiketi na barua ya kusitishwa ama kuacha kazi lakini wanataka wewe ulete nyingine na wakati mwajiri hawezi toa tena

4. Wastaafu wanasumbuliwa bila kujali unapotoka.

5. KWA KIFUPI NI HIVI NSSF HAWASAIDII MTU WAKATI YUKO KWENYE MAITAJI NA FEDHA ZAKE LAKINI WAO NDIO WA KWANZA KUZISUMBUA KAMPUNI KWENYE KULIPA MICHANGO YA WAFANYAKAZI MPAKA WANAWAPIGA PENATI WAKICHELEWESHA .
Mungu anawaona nyie NSSF🙆
 
1. Ukiomba fedha zako za kujikimu unavyokuwa umeacha kazi ama umefukuzwa ama mkataba umeisha, NSSF wanasema wanakupa 33% ya mshahara wako tena baada ya miezi miwili kupita. Hiki kiasi ni kidogo sana mtu kujikimu tena akiwa na familia, kwa nini wasitoe asilimi 30% ya fedha iliyokuwepo alafu ndio waanze kukupa 33% ya mshahara wako kwa kipindi ya miezi 18 angalau hiko kiasi kinaweza kukusaidia kufungua biashara yako ndogo.

2. Mtu ukiwa umefanya kazi kwenye makampuni zaidi ya moja ,kipindi unaomba fedha ya kujikimu ya kutokuwa kazini wao wanaanza kutaka kuthibitisha michango yako ya makampuni ya mwanzo ingali kwao fedha ya michango inasoma. Sasa ayo makampuni yakiwa yamefungwa na hayapo tena Nchini wanashindwa kukupa fedha kisa wameshindwa kuthibisha. Swali ni kwamba wanachotaka kuthibitisha ni nini? Na kama hiyo kampuni imefungwa wewe mchangiaji kwanini udhulumike.

3. Wanaweza poteza satifiketi na barua ya kusitishwa ama kuacha kazi lakini wanataka wewe ulete nyingine na wakati mwajiri hawezi toa tena

4. Wastaafu wanasumbuliwa bila kujali unapotoka.

5. KWA KIFUPI NI HIVI NSSF HAWASAIDII MTU WAKATI YUKO KWENYE MAITAJI NA FEDHA ZAKE LAKINI WAO NDIO WA KWANZA KUZISUMBUA KAMPUNI KWENYE KULIPA MICHANGO YA WAFANYAKAZI MPAKA WANAWAPIGA PENATI WAKICHELEWESHA .
Wanachofanya ni UJAMBAZI wenye baraka zote za Serikali.
 
Mie kama mmoja wa wachangiaji niliyeona adha ya NSSF nimeona ni wajibu wangu kupaza sauti labda anaweza tokea Kiongozi anayejitambua na kuamua kulibeba hili na kuwasaidia Wananchi wa Sekta binafsi wanaochangia Mfuko wa NSSF.

Shida wanazokumbana nazo Wachangiaji ni zifuatazo:

1. Ukiomba fedha zako za kujikimu unavyokuwa umeacha kazi ama umefukuzwa ama mkataba umeisha, NSSF wanasema wanakupa 33% ya mshahara wako tena baada ya miezi miwili kupita. Hiki kiasi ni kidogo sana mtu kujikimu tena akiwa na familia, kwa nini wasitoe asilimi 30% ya fedha iliyokuwepo alafu ndio waanze kukupa 33% ya mshahara wako kwa kipindi ya miezi 18 angalau hiko kiasi kinaweza kukusaidia kufungua biashara yako ndogo.

2. Mtu ukiwa umefanya kazi kwenye makampuni zaidi ya moja ,kipindi unaomba fedha ya kujikimu ya kutokuwa kazini wao wanaanza kutaka kuthibitisha michango yako ya makampuni ya mwanzo ingali kwao fedha ya michango inasoma. Sasa ayo makampuni yakiwa yamefungwa na hayapo tena Nchini wanashindwa kukupa fedha kisa wameshindwa kuthibisha. Swali ni kwamba wanachotaka kuthibitisha ni nini? Na kama hiyo kampuni imefungwa wewe mchangiaji kwanini udhulumike.

3. Wanaweza poteza satifiketi na barua ya kusitishwa ama kuacha kazi lakini wanataka wewe ulete nyingine na wakati mwajiri hawezi toa tena

4. Wastaafu wanasumbuliwa bila kujali unapotoka.

5. KWA KIFUPI NI HIVI NSSF HAWASAIDII MTU WAKATI YUKO KWENYE MAITAJI NA FEDHA ZAKE LAKINI WAO NDIO WA KWANZA KUZISUMBUA KAMPUNI KWENYE KULIPA MICHANGO YA WAFANYAKAZI MPAKA WANAWAPIGA PENATI WAKICHELEWESHA .
CCM wamekopa hela zenu zote.NSSF wamebaki weupe hawana cha kukulipa.Utapigwa sounds hadi uimbe kikwenu.
 
NSSF ni sawa na NHIF ,majambazi washakwapua fedha kwenye mifuko ,so wanachokifanya ni kuweka sheria ngumu ili watu wasichukue fedha zao ,kikwete tu ndiyo alifanya vyema kwenye mifuko watu walikuwa wanachukua "Mpunga" wao wote kama ulivyo ila alivyoingia "Nzirankende" akakwapua pesa nyingi mpaka NSSF ikataka kufilisika ndipo wakatunga misheria mibovu.
 
Mie kama mmoja wa wachangiaji niliyeona adha ya NSSF nimeona ni wajibu wangu kupaza sauti labda anaweza tokea Kiongozi anayejitambua na kuamua kulibeba hili na kuwasaidia Wananchi wa Sekta binafsi wanaochangia Mfuko wa NSSF.

Shida wanazokumbana nazo Wachangiaji ni zifuatazo:

1. Ukiomba fedha zako za kujikimu unavyokuwa umeacha kazi ama umefukuzwa ama mkataba umeisha, NSSF wanasema wanakupa 33% ya mshahara wako tena baada ya miezi miwili kupita. Hiki kiasi ni kidogo sana mtu kujikimu tena akiwa na familia, kwa nini wasitoe asilimi 30% ya fedha iliyokuwepo alafu ndio waanze kukupa 33% ya mshahara wako kwa kipindi ya miezi 18 angalau hiko kiasi kinaweza kukusaidia kufungua biashara yako ndogo.

2. Mtu ukiwa umefanya kazi kwenye makampuni zaidi ya moja ,kipindi unaomba fedha ya kujikimu ya kutokuwa kazini wao wanaanza kutaka kuthibitisha michango yako ya makampuni ya mwanzo ingali kwao fedha ya michango inasoma. Sasa ayo makampuni yakiwa yamefungwa na hayapo tena Nchini wanashindwa kukupa fedha kisa wameshindwa kuthibisha. Swali ni kwamba wanachotaka kuthibitisha ni nini? Na kama hiyo kampuni imefungwa wewe mchangiaji kwanini udhulumike.

3. Wanaweza poteza satifiketi na barua ya kusitishwa ama kuacha kazi lakini wanataka wewe ulete nyingine na wakati mwajiri hawezi toa tena

4. Wastaafu wanasumbuliwa bila kujali unapotoka.

5. KWA KIFUPI NI HIVI NSSF HAWASAIDII MTU WAKATI YUKO KWENYE MAITAJI NA FEDHA ZAKE LAKINI WAO NDIO WA KWANZA KUZISUMBUA KAMPUNI KWENYE KULIPA MICHANGO YA WAFANYAKAZI MPAKA WANAWAPIGA PENATI WAKICHELEWESHA .
Hii Ni dunia ya one dog 🐶 eats another dog 🐕.
Mpaka hili uje kulipandikiza your dna, each fiber of your being, katika spirit and soul nadhani hutoweza kuongea hivi kutafuta huruma. Cheki wabunge wao hawapendwi wanapewa zote Mara moja ili wale ziishe wateseke wao wanakupenda wanakupa kidogo
 
LAANA ya kudhulumu wazee,watoto,wajane ni LAANA mbaya sana! Ukifanya kazi Nssf au Pssf inafaa ujawe hekima nyingi.
Kwasasa bunge lililowahujumu wazee kwenye mafao watatafunwa na LAANA mbaya sana hatakama wanalipana mamilioni lkn LAANA ya kuwanyanyasa wazee itatembea nao ingefaa watubu na kufuta upuuzi waliotunga.
Mbona wao wabunge wasilipwe mafao Yao kidogo-kidogo wanapewa mamilioni yoote?? Tuna ma Stupid MP na foolish P
 
Hapa tatizo Wala sio Nssf hapa tatizo ni sisiemu waliobadili hiyo Sheria bila ku deal na source mtalaumu Sana hawa majamaa,Ila chanzo ni mwenye shirika lake ukipita kwenye ile miradi yao kijichi,Kigamboni na kwengineko ilivyotelekezwa ndio utaelewa kwa Nini wanatuhujumu nanwalipaswa kua jela ikiwezekana Mana wamezitupa pesa zetu wafanyakazi nakutuwekea masharti magumu kuzipata
 
Makada wamejazwa huko kupiga pesa
Yaani haingii akilini:
1. PAYE inakatatwa vizuri tu.
2. WCF inakamuliwa vizuri tu.
3. NSSF inakatwa lakini mchangiaji akiitaka pesa yake unakuwa mgogoro . Hii maana yake nini? Watu weusi wana mambo meusi sana. Basi watu wakopeshwe hiyo michango yao kwa riba ndogo au bila riba ili waanzishe biashara. Duuh! Africa kazi tunayo. Watu wana mioyo migumu sana.
 
Yaani haingii akilini:
1. PAYE inakatatwa vizuri tu.
2. WCF inakamuliwa vizuri tu.
3. NSSF inakatwa lakini mchangiaji akiitaka pesa yake unakuwa mgogoro . Hii maana yake nini? Watu weusi wana mambo meusi sana. Basi watu wakopeshwe hiyo michango yao kwa riba ndogo au bila riba ili waanzishe biashara. Duuh! Africa kazi tunayo. Watu wana mioyo migumu sana.
Tuna viongozi ambao wamelaaniwa, umeona TUCTA hata wanalalamika? ndiyo ujue shida inaanzia hapo, wewe ukipata chance hata ya kuiba dawati la shule beba mzee
 
Tuna viongozi ambao wamelaaniwa, umeona TUCTA hata wanalalamika? ndiyo ujue shida inaanzia hapo, wewe ukipata chance hata ya kuiba dawati la shule beba mzee
Mimi siwezi kuiba. Sijalelewa hivyo na wazazi wangu. Ila nalaani unyonyaji wa aina yoyote.
Kama kuna maandamano ambayo naweza kushiriki ni haya ya kudai haki za wananchi. Maandamano ya kudai miundombinu muhimu. Siyo maandamano ya kuunga au kupinga ushoga.
 
NSSF Wana shida mda mrefu sana, wakati wa kikwete walikuwa wanalipa hela za mkupuo tu, hela za kila mwezi utalia hadi utoke makamasi, hawatoi, wanadai zimejenga UDOM, Baada ya kuondolea Mh. Dau wakaanza kulipa Ila hayo masharti yake utakata tamaa, na Kama umefariki eti wategemezi ndio wafualie, imekula kwako
 
Siku moja nilikuwa ofisi flani ya NSSF, Kuna ofisi hivi Kama mapokezi mnakaa kusubiri kuingia ofisi ya huduma unayohitaji, sasa mnakaa na wazee wastaafu walioahidiwa waje Siku hio kuangalia kama malipo yao yapo tayari, pale mnapiga stori za Simba yanga, mnacheka, lakini kila mtu akiingia mle ofisini kuulizia mafao yao, anarudi amenuna, anasonya tu anawapita Kama hawaoni, unabaki unacheka kimoyomoyo
 
Back
Top Bottom