Scaramanga
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 490
- 704
Pamoja na kuwa tuna kilio kwa serikali kutuondolea malipo ya kuvuka daraja la Kigamboni, niwapongeze NSSF kwa kujaribu kuweka urataribu wa kulipa malipo ya awali kabla ya huduma ya kuvuka na kuweka njia maalum gate namba 5 litumike.
Mwanzo utaratibu huu ulipoanza kiukweli ulileta tija kwa watumiaji kwani uvukaji ulikuwa mwepesi na wa haraka.Ila kwa sasa umekuwa kero mno kwani watumishi pale darajani wamekuwa wakiruhusu magari kutumia gate namba 5 ambao hawajalipa malipo kwa awali.
Imekuwa kero sana kwa wale ambao wamefanya malipo kwa awali kukaa foleni na kuondoa dhana nzima ya kufanya uharaka wa kuvuka. Hii inafanya hata kuona ni ujinga kulipa malipo kwa awali.
Niombe wahusika kama mfumo huu wa kulipa kwa awali na kuwa na njia maalum umeshindikana tujue na kama mtu analazimisha tumia njia hiyo akifika alipe fine ya 5000 kama usumbufu.
Shida pia watu wenu wanaendekeza ukiwauliza wanasema mageti mengine kuna magari yanapita , sasa nini maana ya kulipa kwa awali ni kufanya unapte unafuu wa kupita kwa haraka wacha hiyo njia ipitiwe na waliolipa kwa haraka ili watakaotaka tumia nao walipe kwa wakati.
Mwanzo utaratibu huu ulipoanza kiukweli ulileta tija kwa watumiaji kwani uvukaji ulikuwa mwepesi na wa haraka.Ila kwa sasa umekuwa kero mno kwani watumishi pale darajani wamekuwa wakiruhusu magari kutumia gate namba 5 ambao hawajalipa malipo kwa awali.
Imekuwa kero sana kwa wale ambao wamefanya malipo kwa awali kukaa foleni na kuondoa dhana nzima ya kufanya uharaka wa kuvuka. Hii inafanya hata kuona ni ujinga kulipa malipo kwa awali.
Niombe wahusika kama mfumo huu wa kulipa kwa awali na kuwa na njia maalum umeshindikana tujue na kama mtu analazimisha tumia njia hiyo akifika alipe fine ya 5000 kama usumbufu.
Shida pia watu wenu wanaendekeza ukiwauliza wanasema mageti mengine kuna magari yanapita , sasa nini maana ya kulipa kwa awali ni kufanya unapte unafuu wa kupita kwa haraka wacha hiyo njia ipitiwe na waliolipa kwa haraka ili watakaotaka tumia nao walipe kwa wakati.