nssf

mandwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
1,493
Reaction score
361
Habari,ni muda gani natakiwa kusubiri ili kupata fedha zangu za nssf pindi ninapokua nimepunguzwa kazi na mwajiri wangu?kwani nimepunguzwa kazi sababu mwajiri wangu ameishiwa kazi naitaji pesa yangu ya nssf ili nifanye biashara maana sina kazi na nina family inaniangalia mimi
 
wiki tu sasa ndugu yangu wiki ya pili unabeba mkwanja
 
Duh! kama ni baada ya wiki moja safi sana maana hata mie niko mbioni kuachana na kazi za kuajiriwa huo mkwanja nikiupata mapema nitaweza kufanya kitu.
 
Ningekushahuri ukawaone wenyewe NSSF I think ni miezi na sio wiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…