Ntafuta nafasi kushiriki au kuwa miongoni wa cast katika filamu au tamthilia

Ntafuta nafasi kushiriki au kuwa miongoni wa cast katika filamu au tamthilia

Edwardo Ommy

Member
Joined
Feb 6, 2020
Posts
36
Reaction score
52
Ni siku nyingine tena na natumaini wote tupo salama, nimeleta uzi huu kwenu kwa yeyote mwenye ukaribu na tasnia ya filamu.

Wakiwemo madirector, maproducer, wasanii na hata wahusika wengineo.

Lengo ni kutafuta nafasi kushiriki au kuwa miongoni wa cast katika filamu au tamthilia zijazo.

Edwardo Omari
0714664520.
 
Ni siku nyingine tena na natumaini wote tupo salama, nimeleta uzi huu kwenu kwa yeyote mwenye ukaribu na tasnia ya filamu.

Wakiwemo madirector, maproducer, wasanii na hata wahusika wengineo.

Lengo ni kutafuta nafasi kushiriki au kuwa miongoni wa cast katika filamu au tamthilia zijazo.

Edwardo Omari
0714664520.
Unaonaje tutafute camera yetu tu na pc tuanze kuigiza filamu wenyewe si unajua kuigiza [emoji16][emoji16] ni mwendo wakutoa vyupa vyetu tu
 
Ni matumaini yangu wote wazima. Mimi ni kijana wa kiume nimesoma diploma ya procurement and logistic management na bachelor degree ya business management, natafuta ajira nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote
 
Back
Top Bottom