Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila elimu ya Makonda na Musiba ni sahihi kwako??TAMISEMI kipindi kingine angalieni namna ya kuwasaidia kujaza form wapinzani.
Ukiangalia tu elimu ya Mwenyekiti, uje kwa viongozi wa kanda unaweza pata picha mgombea wa kitongoji au mtaa
Sisiemu ya wapi hiyo ?UWT nyie ni wajinga sn, CCM wengi hawajui hata kusoma na kuandika
Hiyo iliyozaa UWT yenuSisiemu ya wapi hiyo ?
Nilishangaa kuona ni makosa hayo hayo ya 2019 yamejirudia tena mwaka huu. Hivi hawakuwapa semina wagombea wao, au ndio kweli hawakujiandaa. Lissu yuko sahihi, Kigaila kapanik tu kusikia ukweli.TAMISEMI kipindi kingine angalieni namna ya kuwasaidia kujaza form wapinzani.
Ukiangalia tu elimu ya Mwenyekiti, uje kwa viongozi wa kanda unaweza pata picha mgombea wa kitongoji au mtaa
Hili nalo neno, CCM imefeli kutoa elimu bora nchini kwa wananchi, mwenyekiti wa CCM ana digirii ya Gerezani Kariakoo!TAMISEMI kipindi kingine angalieni namna ya kuwasaidia kujaza form wapinzani.
Ukiangalia tu elimu ya Mwenyekiti, uje kwa viongozi wa kanda unaweza pata picha mgombea wa kitongoji au mtaa
Punguza utoto ww 🌈TAMISEMI kipindi kingine angalieni namna ya kuwasaidia kujaza form wapinzani.
Ukiangalia tu elimu ya Mwenyekiti, uje kwa viongozi wa kanda unaweza pata picha mgombea wa kitongoji au mtaa
Wa CCM wamewezaje wakati mazingira yao ni sawa, elimu sawa, uelewa sawa.TAMISEMI kipindi kingine angalieni namna ya kuwasaidia kujaza form wapinzani.
Ukiangalia tu elimu ya Mwenyekiti, uje kwa viongozi wa kanda unaweza pata picha mgombea wa kitongoji au mtaa
Ccm wanachagua viongozi wanaojua kusomaWa CCM wamewezaje wakati mazingira yao ni sawa, elimu sawa, uelewa sawa.
HIli limewabumia CCM, wanataka kubakia madarakani kwa ujanja ujanja.
Info flow imewaumbua this time, kila kitu ni nje nje.
Hivi kuna viongozi maamuma kama wa ccm kwa ngazi zoote. Hivi unaishi nchi ipi. Huku sigimbi kwetu mwenye kiti wa ccm kuandika barua ni changamoto wamatumia vijanaTAMISEMI kipindi kingine angalieni namna ya kuwasaidia kujaza form wapinzani.
Ukiangalia tu elimu ya Mwenyekiti, uje kwa viongozi wa kanda unaweza pata picha mgombea wa kitongoji au mtaa
Umeandika kama nyimbo ya kigodoroNilishangaa kuona ni makosa hayo hayo ya 2019 yamejirudia tena mwaka huu. Hivi hawakuwapa semina wagombea wao, au ndio kweli hawakujiandaa. Lissu yuko sahihi, Kigaila kapanik tu kusikia ukweli.
Any way, uchaguzi wa ndani umewapotezea wakati sana, kwani huo ulikuwa muhimu kuliko huu wa S/ MITAA.
Wavune walichopanda