G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wana jf!
Mie tatizo langu ni wembamba: kiukweli mie ni mwembamba kuna kipindi nilienda kumwona dactari akanishauri nitumie mayai kama sehemu ya mlo mfululizo kwa mwezi mmoja lakini bado sikupata mabadiliko yoyote nimeona niwasilishe kwenu member je mnanishauri vp!
Mie tatizo langu ni wembamba: kiukweli mie ni mwembamba kuna kipindi nilienda kumwona dactari akanishauri nitumie mayai kama sehemu ya mlo mfululizo kwa mwezi mmoja lakini bado sikupata mabadiliko yoyote nimeona niwasilishe kwenu member je mnanishauri vp!