Duh!pole sana,labda kajaribu chuo cha nyuki katavi.
Wadau,
Nimesoma QT, na matokeo ya form four ndio hayo nmepata D2 na C 1 hivyo nina div 4 y points 40، je kwa matokeo hayo naweza kusoma chuo gani? Msaada tafadhali.
Hivi CBE wanachukua wenye kuanzia ufaulu gani wakuu, kwa anaejua.