Ntobi: Tumetoka kumuona Boniface Jacob Segerea, ana Furaha amenyolewa kipara cha Wembe lakini Ndevu wamemuachia!

Ntobi: Tumetoka kumuona Boniface Jacob Segerea, ana Furaha amenyolewa kipara cha Wembe lakini Ndevu wamemuachia!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwanachama wa Chadema mh Ntobi amesema wametoka kumuona Boniface Jacob aka Boniyai wamemkuta akiwa na tabasamu kuliko wao

Ntobi amesema ukurasani X

Ahsanteni Sana
---
1726843374370.png
Tumetoka kumuona BonIFACE gereza la Segerea akiwa mwenye tabasamu kuliko sisi!!Binfsi, namshangaa (muonekano) kanyolewa kipara cha wembe, ndevu wameziacha.

Ananiuliza "Ngosha vipi?" Kwa sauti yake nene ya kukwauza! Namwambi "Mwanetu, upo hapa gerezani si kwa sababu wewe ni mwizi au jambazi" Bon anacheka akasema "Pambaneni wangu, hatima yangu- ipo mikononi kwenu na watanzania wote... waeleze wamsikate tamaa"
https://x.com/Ntobi_/status/1837081595385123058/photo/1
 
Mwanachama wa Chadema mh Ntobi amesema wametoka kumuona Boniface Jacob aka Boniyai wamemkuta akiwa na tabasamu kuliko wao

Ntobi amesema ukurasani X

Ahsanteni Sana
Kunyoa upara ananyolewa na masela wake ndevu ni hiari jwa sasa.....lazima amepokelewa kama kamanda CDM wapambe kibao....hasa masela watamfanyia kila kitu sababu ana cash....maisha yataenda tuuu
 
Amenyolewa nywele?

Hii imekaa vipi?

Kuna sheria inawapa polisi uwezo wakunyoa nywele watuhumiwa?

Je, nywele nazo ni moja ya vielelezo kwenye hii kesi?

Naona hakuna anayehoji hili.

Wanamnyoa nywele kwasababu zip?
 
Kunyoa upara ananyolewa na masela wake ndevu ni hiari jwa sasa.....lazima amepokelewa kama kamanda CDM wapambe kibao....hasa masela watamfanyia kila kitu sababu ana cash....maisha yataenda tuuu
Umesema ukweli, masela wanaweza kumfanyia kila kitu, hasa usiku akijifanya kasinzia anakoroma
 
Umesema ukweli, masela wanaweza kumfanyia kila kitu, hasa usiku akijifanya kasinzia anakoroma
Hapanaaaa zamaniii hayo .....au kama tabia yako....pia kuna masela mavi wale ...ambao hata sabuni hana na hajui atatoka lini hata ndugu hawaji wala hawamjali ......atajiyza ili apate maisha mule .....sio kwa nguvu ila kutaka ww au shida zako.....
 
Kwani mahabusu ni lazima ,mtuhumiwa anyolewe nywele, au kwa sababu wanajua ataka muda mrefu , apo mahabusu
Mahubusu si sawa na mfungwa (ambaye ameshapewa adhabu ya kifungo)
Ukishaingia gerezwni regardless status yako, unaendana na sheria za kule
 
Amenyolewa nywele?

Hii imekaa vipi?

Kuna sheria inawapa polisi uwezo wakunyoa nywele watuhumiwa?

Je, nywele nazo ni moja ya vielelezo kwenye hii kesi?

Naona hakuna anayehoji hili.

Wanamnyoa nywele kwasababu zip?
Ni kudumisha usafi...na pia kiusalama nywele ndefu/nyingi huweza kuhifadhi vitu hatarishi au visivyoruhusiwa gerezani. Ndugu zetu Rastafarians huwa na vibali maalumu na huruhusiwa kubaki na rasta zao.
 
Sidhani kama maabusu ananyolewa kwasababu Bado anakuwa hajatiwa hatiani kwa hivyo hauwezi kuwa treated kama Mtu alikutwa na hatia
 
Mwanachama wa Chadema mh Ntobi amesema wametoka kumuona Boniface Jacob aka Boniyai wamemkuta akiwa na tabasamu kuliko wao

Ntobi amesema ukurasani X

Ahsanteni Sana
Weka basi na kapicha akiwa amenyolewa bila maji.
 
Hizo ndevu zenyewe ni huruma tu imepita hapo ila inatakiwa zinyolewe zote na kwa sababu mmesema humu hizo lazima zinyolewe zote. Sifa ya Gerezani ni kukutoa umaarufu tu na hauna cha kuwafanya.
 
Back
Top Bottom