Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kama mwele na ndevu hazinuki why mtu anyolewe?Hizo ndevu zenyewe ni huruma tu imepita hapo ila inatakiwa zinyolewe zote na kwa sababu mmesema humu hizo lazima zinyolewe zote. Sifa ya Gerezani ni kukutoa umaarufu tu na hauna cha kuwafanya.
Polisi ya Tanzania ni ya hovyo snKuna wakati unasikia polisi anasema tunamshikilia mhalifu kwa kosa fulani kitu ambacho sio sahihi.
Mtu akishikiliwa na polisi sio mhalifu bali mtuhumiwa wa uhalifu (suspect of a crime). Mahakama pekee ndio yenye legal authority ya kusema fulani ni mhalifu baada ya kupatikana na hatia ya kosa aliloshitakiwa nalo.
Ndiyo maana mahabusu ana haki zote kama raia asiye na hatia ndiyo maana anakuwa kwenye nusu kizuizi tofauti na mfungwa ambaye anakuwa kwenye kizuizi kamili.Oh asante kwa kunirekebisha kwenye hilo, so mtoa mada anasema wamemnyoa, how comes or ni kuongezewa chumvi?
kwahiyo ameomba tumpampanie na kwamba hatma yake iko mikononi mwetu, right?Mwanachama wa Chadema mh Ntobi amesema wametoka kumuona Boniface Jacob aka Boniyai wamemkuta akiwa na tabasamu kuliko wao
Ntobi amesema ukurasani X
Ahsanteni Sana
---
Tumetoka kumuona BonIFACE gereza la Segerea akiwa mwenye tabasamu kuliko sisi!!Binfsi, namshangaa (muonekano) kanyolewa kipara cha wembe, ndevu wameziacha.
Ananiuliza "Ngosha vipi?" Kwa sauti yake nene ya kukwauza! Namwambi "Mwanetu, upo hapa gerezani si kwa sababu wewe ni mwizi au jambazi" Bon anacheka akasema "Pambaneni wangu, hatima yangu- ipo mikononi kwenu na watanzania wote... waeleze wamsikate tamaa"
View: https://x.com/Ntobi_/status/1837081595385123058/photo/1
Kwa wanaomjuwa bony syo mgeni huko na msela,mhuni gani asiyemjuwa bonyKwa nini mkuu