Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
kwenye duduWeka hiyo picha ya sehemu alipoichora hiyo tattoo kwanza.. alafu ndo nitarudi kucomment
Weka hiyo picha ya sehemu alipoichora hiyo tattoo kwanza.. alafu ndo nitarudi kucomment
hahahahahahahaha acha wee duh umenichekesha muno asee kama ni kweli shishi mwehuShilole kamwambia ye aendelee kujichora tu...Ila akithubutu kufuta tattoo yake..Atachezea vitasa hadi akome
Teh teh...Anakwambia anampa vitasa halafu anamwambia SAY MY NAMEhahahahahahahaha acha wee duh umenichekesha muno asee kama ni kweli shishi mwehu
jana nimeona kwenye post humu hili neno knockout anavyolitaja khaaaaaaaaaaaaaa crazy womanTeh teh...Anakwambia anampa vitasa halafu anamwambia SAY MY NAME
kumbe alikuwa anamaanisha hivyo hata sikumuelewa eti no counts!jana nimeona kwenye post humu hili neno knockout anavyolitaja khaaaaaaaaaaaaaa crazy woman
loh unsamaanisha 50 milioni?Dogo anateseka na tatoo ya Shishi,chezea tsh 50m za kwenda kufuta wewe......
Acha dharau wewe., kwa hiyo umeona wali maharage ndio hauna thamani sana sio?? Heshimuni vyakula pendwa vya wenzenu bana.Bora wali maharage kuliko huyu dogo
Yes, na huenda ikazidi hapo.loh unsamaanisha 50 milioni?
shieeeYes, na huenda ikazidi hapo.
hahaha!maisha gani ya vitisho haya..huyu shishi nae kaseba nini?Shilole kamwambia ye aendelee kujichora tu...Ila akithubutu kufuta tattoo yake..Atachezea vitasa hadi akome
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kwenye dudu