Nuh mziwanda pamoja na kupewa mkong'oto mara kwa mara ajisifu kumla shilole!!

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304

Nuh alitupia picha hiyo hapo chini nakuweka ujumbe huu "Mtoto Mbichiii namla kiulaini".
Mbongo flava nuh mziwanda pamoja na kukumbwa na kichapo mara kwa mara wadakuzi wa michepuko wamebaini kumbe hilo sio tatizo kwake maana yupo pale kujia vyake tu hichi ndicho alichoweka kwenye kurasa yake ya instagram!!!.​




 
2365 liked that!!.....
 
Anamla nini?watu wamesha kula kitambo,anataka kushindana na mfupa ulomshinda fisi.........
 
hawa mario ndo maana wanakosewa heshma hadharani. Sasa maneno gani ya mtoto wa kiume alokamilika
 
Huyu kijana ni utoto au ushamba?
 
mzee wa zanzibar highland ......
 
mmmh huyo dada anaonekana mkabwa sana,huyo kijana mdogo au ndio kusema mapenzi hayachagui
 
2365 liked that!!.....

Duniani ujinga hautokaa uishe...hao walio-like wangeonekana wana akili kama wangemshauri aachane na huyo m-bibi akajitafutie maisha yake,umri wa kuwa shule yeye yupo kwa mijimama mwisho akiumwa kifua atalalamika wadau wamemkimbia.
 
Wadada fanya kupita ladytiger_fashions instagram na Facebook ujionee vya ukweli kuanzia beach, club, ofisini, casual hadi vya ukweni
Kaka wapendezeshe uwapendao... Umaridadi huficha umasikini njoo huku hutojutia... Ni dhambi mbaya kukosa kuvutia na suluhisho lipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…