Nuh Mziwanda

Huyu ni mdogo sanaa..ila anajikomaza na hiyo mindita usonii..halafu anajiona mkuuubwa kisa anasukuma hilo fuso....!

Hapana bhana yule sio mtoto, na sidhani kama yuko chini ya 28 yrz...
Sema nahisi atakua alikulia ktk shida sana ndo mana akadumaa, kichwa kikawa kikubwa kushinda mwili.
Au atakua alibemendwa mana kuna demu kitaa mtoto wake ana muundo kama wa Nuhu na wadau wanasema huyo mtoto kabembendwa!
 

Trust me dogo hafiki 24....mdogo sana huyo kajikomaza tu.
Huyo ni umri wa kina young D....
Kabemendwa ukubwani...
 
Trust me dogo hafiki 24....mdogo sana huyo kajikomaza tu.
Huyo ni umri wa kina young D....
Kabemendwa ukubwani...

Labda hakunyonya vizuriii utotoni aisee huo mwili sio jamaniii
 
Trust me dogo hafiki 24....mdogo sana huyo kajikomaza tu.
Huyo ni umri wa kina young D....
Kabemendwa ukubwani...

Acha bana sio mtu wa 24 yule.
Angalia uso ule kakomaa, na sio umri wa kina Young D.
Kwakua wema kaingiza miaka 23 basi ndo unasema na yeye 24
 
Acha bana sio mtu wa 24 yule.
Angalia uso ule kakomaa, na sio umri wa kina Young D.
Kwakua wema kaingiza miaka 23 basi ndo unasema na yeye 24

Kweli tena yule mdogo...uso umemkomaa kwa kuangalia yaliyomzidi umri.....
 
 
 
 
 
 
Mdogo wa mwili ila waweza kuta huko chini ana bongeee la mashineee..shikamoo shishi bebee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…