Nuhu Mziwanda amshukuru Shilole kwa kumpandisha ndege kwa mara ya kwanza...

Jamani eh, nyie watu vipi! Kama ni ushamba, wa kwake! Yeye, sawa na watu wengi tu, na wengine hata humu JF alikuwa hajawahi kupanda ndege na hivi sasa amepanda, ameonesha wazi furaha yake! Mbona nyie wengine mnatuleteaga hapa stori zenu ambazo huwa mnaongea in other way round... utasikia, cku moja tumefika Amsterdam na Emirates wakati stori yenyewe wala haikuwa na sababu ya kutaja ndege uliyosafiria... tena wengi wenu mnaleta stori kama hizo wakati ni safari za kiofosi na wala bei ya tiketi yenyewe hamuijui... Leo hii Nuhu kasema amepanda ndege inageuka kuwa nongwa kwenu? Huko vijijini kwenu ni juzi juzi tu hapa watu wameanza kupanda gari, itakuja kuwa ndege bhana?
 
bora nipite manake sijui hata niseme nini zaidi ya mwenyezi mungu atunusuru na vizazi vyetu....
 

True... sio kila mtu anaweza kutumia usafir huo wa anga ambao ni expensive, asikwambie mtu kupanda ndege ni raha especially for first fliers..... wote tulitoka uko, hakuna aliyezaliwa na ndege, wote tumezikuta tukapanda
 
True... sio kila mtu anaweza kutumia usafir huo wa anga ambao ni expensive, asikwambie mtu kupanda ndege ni raha especially for first fliers..... wote tulitoka uko, hakuna aliyezaliwa na ndege, wote tumezikuta tukapanda
Umeona enh! Tatizo JF kila mtu mjuaji, kila mtu mambo safi, kila demu ni classic na ndio maana ukimwambia mtu ukutane nae mahali physically, atakupiga chenga mwaka mzima ili aendelee kuficha maisha yake ya kuigiza hapa JF!
 
Umeona enh! Tatizo JF kila mtu mjuaji, kila mtu mambo safi, kila demu ni classic na ndio maana ukimwambia mtu ukutane nae mahali physically, atakupiga chenga mwaka mzima ili aendelee kuficha maisha yake ya kuigiza hapa JF!

Inachomaa hiyooo
 
Hongera nuhu kwakuwa muwazi maana wengine wanapenda kujisifia kupita kiac utakuta wa2 wanfikia Mpaka kupigia picha vtu visivyo vyao cm yenyewe yakucha yakugongea il aonekane matawi ya juu sasa wanamuona nuhu ---- waltaka adanganye kama wao au
 
mziwanda sio mwanaume ni mvulana!watake radhi wanaume wewe-
 
Hivi huyu nuhu ana miaka mingapi iseje kua ni kijeba nyie mnamwita kitoto
 
Tatizo vijana wengi wanakimbia shule na kuona umarioo ndo dili
juzi alikua zenji angalia sasa alichoposti kwa kingereza
Zenji am on stage yesterday

nilicheka sana

haa haaa afu vinajidai kupost kwa kingereza shenzi type huyu kweli kichwa box
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umenikumbusha siku niliyofanya tohari dah kisu kinauma tena pale anaporudia ile ngozi ya ndani uwiiiiiiii!!!! Nilijikaza kisabuni kwa kwel ila uchungu niliusikilizia badae

Pole kamanda. Kwa nini walikuvumbika hadi ukawa na kijibesi? Wengine hata hatukumbuki. Au likizo ya 'tata' ilikuwa haijafika. Hata hivyo hongera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…