Nukuu mbili za Dkt. Faustine Ndugulile kuhusu Shirika la Posta Tanzania na COVID-19

Nukuu mbili za Dkt. Faustine Ndugulile kuhusu Shirika la Posta Tanzania na COVID-19

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
"Hatuwezi kuendesha Shirika la Posta kama tulivyokuwa tunaendesha miaka ya nyuma, lazima twende na mabadiliko ya TEHAMA na mahitaji ya sasa ya Dunia, na ndio tafsiri ya kauli yangu ya msipobadilika mtabadilishwa na mazingira”

Dkt. Faustine E. Ndugulile
Februari 2021

************************

"Homa hii ni ya Mapafu (COVID-19), sasa unataka kunyunyuzia Maji ya Ndimu na Limao utaishi wewe? Kuna Elimu tunahitaji kwasababu kuna kudanganyana, Vitamin C itakusaidia kuchochea Kinga lakini si Tiba ya Corona"

Dkt. Faustine E. Ndugulile
2020
*****************
 
Back
Top Bottom