Nukuu ya leo: Ukiwa unajenga huku unahonga jiandae kupigwa na majanga.

Nukuu ya leo: Ukiwa unajenga huku unahonga jiandae kupigwa na majanga.

Au ukiwa unaanzisha biashara huku unahonga au kunywa pombe aisee wewe jiandae tu kufunga hio biashara.
Hii niliwah ifanya,ndo biashara changa kwa siku naingiza 10,000 faida
Jamaa kaniunganisha na demu mkali,kila wkend tunatumbua kuanzia 50,000 mara akapata mimba nikampa 100,000 na bado kuna mke,hyo biashara ilidumu miezi 8 tu
 
Ongezaa kipato mkuu wangu ,,Kuna cku boc wangu alinipa m 5 nimpeleke Dem mmoja kwake nikajua nikifika getin Kwa Dem tu ntamkuta yupo getini ,chaa ajabu baada ya kufika nampigia cm atoke achukue Hela ,ety anamtuma mtt wa miaka 3 njee ya geti afate zile milioni Tano,,,,aiseeee ndipo nilijua watu Wana Hela na wakishazishika wanadharau sanaa...
 
Sijui ni udumavu wa fikra au matokeo ya shule za kata. Imagine mtu kama huyu hata kuandika uzi ukaeleweka hawezi, na bado tunalalamika kwanini nchi ipo ilipo!
 
Back
Top Bottom