DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 561
- 900
Hellow!! mwana Jamii
Unaambiwa hivi
Ukiwa ni mkamilifu mkumbushe yule aliyepotea njia naye awe mkamilifu. Tuhimizane kuyaishi mema na kuyakemea mabaya. Kama mvua na jua vinawapata wote walio wema na wabaya. Basi usimwache mkosefu apotee ikishuka adhabu niyetu sote.
Jitahidi kuepukana na shari, dhuluma, fitina, wizi, zinaa na dhambi nyingine zote. Hakikisha lile unalomtendea jirani yako likitendwa juu yako halito isononesha nafsi yako. Siyo sifa ya mwanadamu kuogopwa kama mnyama wakutisha, kama gonjwa lilokosa tiba wala kama pori lenye kiza kinene.
Naamu tuishi vyema na watu kwani maisha ni watu na watu ni sisi
Unaambiwa hivi
Ukiwa ni mkamilifu mkumbushe yule aliyepotea njia naye awe mkamilifu. Tuhimizane kuyaishi mema na kuyakemea mabaya. Kama mvua na jua vinawapata wote walio wema na wabaya. Basi usimwache mkosefu apotee ikishuka adhabu niyetu sote.
Jitahidi kuepukana na shari, dhuluma, fitina, wizi, zinaa na dhambi nyingine zote. Hakikisha lile unalomtendea jirani yako likitendwa juu yako halito isononesha nafsi yako. Siyo sifa ya mwanadamu kuogopwa kama mnyama wakutisha, kama gonjwa lilokosa tiba wala kama pori lenye kiza kinene.
Naamu tuishi vyema na watu kwani maisha ni watu na watu ni sisi