Number ya mid-sized companies

Number ya mid-sized companies

Ntwa A. Katule

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
239
Reaction score
230
Kuna mahali nilisoma kwamba Tanzania ina zaidi ya milioni tatu amabazo nyingi ni ndogo ndogo almaarufu kama SMEs. Je katika kundi la SME, makadirio ya idadi ya biashara ambazo ni za saizi ya kati (medium)(Revenue between 1b and 20b) ni ngapi? Au naweza kuelekezwa kwenye source ambayo inazo statistics za namna hiyo
 
Nenda tu NBS, maana kwa sheria mpya ya takwimu kutoa data kama hzo bila kibali, faini yke ni 13m na kifungo juu
 
Back
Top Bottom