Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Ndugu kiwembe 023 iwapo lengo ni simu yenye camera kubwa zaidi, Basi kuna hii.

Xiaomi Redmi Note 7

RAM+ROM -- 4GB RAM+64GB ROM
Camera ------ 48MP+5MP Rear Camera, 13MP Front Camera ( Wakati nokia yeake ni 41MP )
Battery ------ 4000mAh(typ)/3900mAh(min) 5V/2A QC 4.0

Imeingia sokoni wiki hii, na inapatikana katika bei tatu.

1. 3GB 32GB - TZS 544,800

2. 4GB 64GB - TZS 679,200

3. 6GB 64GB - TZS 763,200
 
Simu inaonesha ya moto Chief-Mkwawa uje utusaidie ku review

Dumelang
 
Kwan huwa zinatofautiana chochote zaidi ya Os kuwa na lugha ya kiinglishi?

Dumelang
Anyway nunua Mkuu kama unahitaji maisha ya kichina na kuhangaika na ma customs roms na pia hutapata official updates toka google kiufupi hazina radha.
 
TZS 460,800
Muda: Wiki tatu
Njia ya malipo: Mobile Banking.
Mawasiliano: Angalia Posti ya kwanza kwenye hii thread

Karibu
 
Hizi bei za bidhaa ninazoona kwenye AliExpress zinajumuisha gharama zipi kati ya kodi, shipping n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi bei za bidhaa ninazoona kwenye AliExpress zinajumuisha gharama zipi kati ya kodi, shipping n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ghalama unazoona ni bei ya bidhaa husika tu.

a} Kupta ghalama kamili inatakiwa uchague bidhaa husika kwa kuangalia vipengele vilivyopo kama size/ rangi etl
b} Inatakiwa uchague pia njia ya usafirishaji itakayotumika

Hapo A & B zitakupatia ghalama ya kufikisha bidhaa nchini

KODI
- Hii ghalama utajulishwa na mamlaka husika hapa nchini baada ya bidhaa yako kufika
- Kuna bidhaa huwa na tozo la kodi/ vat na
- Bidhaa zingine huwa hazin tozo la kodi; Hapa utajiuliza ni bidhaa gani hazina kodi?? Tafadhali walsiliana na malaka husika kupata ufafanuzi kuhusu hili swala la kodi kwa bidhaa zinazoingizwa nchini.
- Kwa wanaoagiza magari wamerahisisjiwa kwa kuwekewa hii calculator : Used Motor Vehicle Valuation System - Used Motor Vehicle Valuation System

Karibu
 
Mkuu iphone 6s plus na sumsung s8 edge plus adi zinifikie zitangarimu kiasi gani, npo mwanza
 
inifikie kabisa ndio inagharimu icho kiasi?
Ikishafika nchini, Utatumiwa mwanza kwa EMS , Ghalama ya ems ni TZS 20,000 hiki kiais kinalipwa baada ya mzigo kufika nchini.
 
Unapomtaka muliza swali aweke link ya bidhaa fulani unamaanisha nini na inapatikana wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapomtaka muliza swali aweke link ya bidhaa fulani unamaanisha nini na inapatikana wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa swali zuri

- Ukiangalia kwenye posti yangu namba moja, Nimeorodhesha baadhi ya tovuti zenye bidhaa mbali mbalimbali mfano wa tovuti hizo ni www.ebay.com , www.aliexpress.com

- Ukifungua tovuti mojawapo mfano aliexpress, utakuta search box pichani

Hapo unatakiwa uandiki jina la bidhaa unayotaka mfano mimi nataka kununua simu aina ya XIAOMI 6 PRO basi nitaandika hapo

- Hapo wamejitokeza wauzaji wengi, unachotakiwa kufanya ni kuchagua muuzaji mmojawapo. Nitachagua muuzaji wa kwanza mfano, kwa ku_click picha ya simu husika

JINSI YA KUWEKA LINK HAPA JAMIIFORUMS
IWAPO UNAWEKA LINK KWENYE HII THREAD TUMIA HUU UTARATIBU
Ambapo kwa mfano wetu hapo juu link ya simu itakuwa ni hii
Code:
https://www.aliexpress.com/item/Global-Version-Xiaomi-Redmi-Note-6-Pro-3GB-32GB-6-26-19-9-Full-Screen-1080P/32922108640.html?spm=2114.search0104.3.1.282b3b764SJViv&ws_ab_test=searchweb0_0,searchweb201602_3_10065_10068_319_10059_10884_317_10887_10696_100031_321_322_10084_453_10083_454_10103_433_10618_431_10307_537_536_10902,searchweb201603_6,ppcSwitch_0&algo_expid=25cbe622-621b-4cce-a008-07227046a98a-0&algo_pvid=25cbe622-621b-4cce-a008-07227046a98a&transAbTest=ae803_5

NB: Iwapo inakuwa vigumu kuweka link kulingana na kifaa unachotumia basi waweza kunipa screenshot yenye maelezo ya bidhaa husika nami niatweza kukupatie link pamoja na ghalama zake

KARIBU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…