Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

Au kama hivi mkuu hapo kwenye free standard shipping inakuaje apo ina mana nikinunua kwa £94 kwenye iyo website yao then sitakua haja ya kulipia ile dola 27 ya shippin????
So ntalipia £94 plus commision yako????

 
Mostly nataka hard copies.....
Kwani mkuu ukinunua kwa softcopy wanakutumia kwa PDF ama ndo ile wansita ebook?
- Ukinunua softcopy - Unatumiwa softcopy (ebook) kwa mfumo wa AZW3 (kwa amazon) ambapo utalazimika kusoma kupitia app yao, na hicho kitabu huwa kimefungwa (DRM) hivyo kutoweza kiamisha au print.

- Ila kizuri zipo software za kuweza kufungua hivyo vitabu vilivyofungwa (drm removal) na ukawa na uwezo wa kukibadili kitabu kuwa kwenye mfumo mwingine kama EPUP AU PDF na kuweza kukiprint au kukianisha toka kifaa kimoja kuja kindine.

- Ninaweza kukufanyia hii kazi.
 
Au kama hivi mkuu hapo kwenye free standard shipping inakuaje apo ina mana nikinunua kwa £94 kwenye iyo website yao then sitakua haja ya kulipia ile dola 27 ya shippin????
So ntalipia £94 plus commision yako????
Pitia vyema maelezo yaliyopo kwenye hiyo site, na utapata jibu kuwa JE ni free shipping ndani ya nchi husika au ni international?

Iwapo ni Free international shipping, hilo swala la shipping cost kwangu halitokuwepo.
 
Pitia vyema maelezo yaliyopo kwenye hiyo site, na utapata jibu kuwa JE ni free shipping ndani ya nchi husika au ni international?

Iwapo ni Free international shipping, hilo swala la shipping cost kwangu halitokuwepo.
Sawa mkuu ila unajua kwenye iyo website wameniwekea nchi yangu TZ halafu chini yake
Wakasema Standard Mail ni free
Na international carrier ni £5 na £10 ndo mana nikawa sijaelewa apo.....ila kama iyo £5 na 10£ ni ya kuship hadi TZ basi naona ni very cheap ukicompare na ile dola 27 uliyosema....
 
Ni jambo zuri, Inakupunguzia ghalama.

Tofauti hapo ni muda utakaosubiri kupokea mzigo wako.
Free huchukua muda mrefu zaidi.
So Mkuu unanishauri nichukulie directly kwenye website ya publisher?? Maana pia naoja wanauza bei nzuri kushinda kwenye Amazon....
Na je wewe unaeza kuingia kwenye hiyo website na kuniagizia kama unavyofanya kwa amazon na ebay
 
So Mkuu unanishauri nichukulie directly kwenye website ya publisher?? Maana pia naoja wanauza bei nzuri kushinda kwenye Amazon....
Na je wewe unaeza kuingia kwenye hiyo website na kuniagizia kama unavyofanya kwa amazon na ebay

Ndio inawezekana

Ghalama utakayolipia ni TZS 303,027
 
Mwl hii bidhaa mpk naipata mkononi itanigharimu bei gani?
LG TV 42" | eBay
Kuifikisha DSM itakughlimu TZS 731600
NB:
1. Kumbuka waweza daiwa kodi/ VAT - uwe tayari kulipia mzigo ukifika nchini.
2. (Ushauri) Kwa hizi bidhaa zenye uzito mkubwa ni vyema ukanunua hapa nchini- Sababu ghalama ya kusafirishi + kodi/vat = Inazidi bei ya hapa nchini.
 
Nashukuru sn mwl
 
Mwl RCT nakushukuru kwa huduma yako nzuri, simu yangu niliyoagiza kupitia kwako ya Xiaomi Mi A1 imefika in perfect condition, na enjoy smartphone katika ubora wake, wadau wengine msisite kutumia huduma hii, jamaa hana longolongo, nasubiria mzigo mwingine uko njiani na kiukweli nitaendelea kutumia huduma yako mkuu, Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…